kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
Chadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.
laiti ningekuwa nimepewa posho ya kupiga porojo za kipropaganda....kwa hili la arusha ningeweka utu,ubinadamu na utanzania mbele kwani damu iliyo mwajika haikiwa na hatia ni damu ya watanzania wenzetu...lakini wewe umeweka posho mbele na kukurupuka kupost upuuzi, kwa walio weledi kama mimi tunaona unatumia masaburi kufikiri. utalaaniwa tu