fundimchundo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2010
- 616
- 904
Wewe ni Mtanzania kweli? Maana kama wewe ni Mtanzania, basi unajua kuwa TANZANIA hakuna kitu kinachoitwa huruma, achilia mbali KURA ya huruma. Kama huruma ingekuwepo, huruma inayotokana na kutolewa damu kijambzi, basi angeonewa huruma Dr. Ulimboka, Absalom Kibanda, Saidi Kubenea na Ndimara Tegabwage. NI VEMA SOTE KWA PAMOJA TUKAVIKEMEA VITENDO HIVYO VYA KIDHALIMU. Si CCM wala CHADEMA itakuwepo milele, lakini TANZANIA itakuwepo milele. Nakushauri uwaombe radhi Watanzania!Chadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.