kwao ni kawaida kwa mujibu wa MWINGULU NCHAMBEkwa hiyo kwako wewe kutokwa damu puani baada ya kupigwa unaona ni jambo la kawaida?
kwao ni kawaida kwa mujibu wa MWINGULU NCHAMBEkwa hiyo kwako wewe kutokwa damu puani baada ya kupigwa unaona ni jambo la kawaida?
Chadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.
Chadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.
Huku kutafuta madaraka kwa nguvu kutatupeleka kubaya. Wanajua lazima kidole kinyooshewe kwa watu fulani lakini hawajui hizi chuki wanazojijenga ndio zinapalilia vita vya sisi kwa sisi. Naumia sana kuona watu hawatumii akili kufikiria bali wanawatetea Chadema kwa kila kitu. Ni kweli CCM imeshindwa baadhi ya vitu but kushindwa huku hakuhalalishi kueneza chuki hii inayofanywa na Chadema. Tukumbuke kuwa tutakapoanza kuuana sisi kwa sisi hawa viongozi wote wa CCM na Chadema watakwenda nchi jirani na kukaa huko wakituangalia sisi walalahoi tunavyochinjana. Leo hio wale walioasosi mauaji ya Rwanda wapo jela wamefungwa. Lakini tujiulize huko kufungwa kwao kunarudisha uhai wa maelfu ya watu waliokufa kwa uroho wao wa kutafuta madaraka kinguvu? Mbona hawakusimama mbele wakati wa machafuko? Iweje wakimbilie uhamishoni wao na familia zao wakati wao ndio waasisi wa hayo machafuko? Ndugu zangu let us think big. Huu u-CCM na u-Chadema usitufanye tukawa mazuzu wa kufikiria. Nina uhakika kabisa hili tukio halipangwa na CCM bali watu ambao wanajua wazi wakifanya hivyo chuki zitaelekezwa kwa CCM. Watu wenye maslahi na Chadema.
Kwa taarifa yako vijana wote tuko CHADEMA na CUF, CCM mmebakia wazee tu. 2015 tutawazika mkiwa hai kama wanavyozikwa wale wazee wachawi kule usukumani kama mtadiriki kuleta vurugu. Maana wakati huo kila mwana CCM atakuwa anajulikana, wale wateule watapata ulinzi wa CCM lakini nyie walalahoi tuko wote mitaani so moto mtauonaHuku kutafuta madaraka kwa nguvu kutatupeleka kubaya. Wanajua lazima kidole kinyooshewe kwa watu fulani lakini hawajui hizi chuki wanazojijenga ndio zinapalilia vita vya sisi kwa sisi. Naumia sana kuona watu hawatumii akili kufikiria bali wanawatetea Chadema kwa kila kitu. Ni kweli CCM imeshindwa baadhi ya vitu but kushindwa huku hakuhalalishi kueneza chuki hii inayofanywa na Chadema. Tukumbuke kuwa tutakapoanza kuuana sisi kwa sisi hawa viongozi wote wa CCM na Chadema watakwenda nchi jirani na kukaa huko wakituangalia sisi walalahoi tunavyochinjana. Leo hio wale walioasosi mauaji ya Rwanda wapo jela wamefungwa. Lakini tujiulize huko kufungwa kwao kunarudisha uhai wa maelfu ya watu waliokufa kwa uroho wao wa kutafuta madaraka kinguvu? Mbona hawakusimama mbele wakati wa machafuko? Iweje wakimbilie uhamishoni wao na familia zao wakati wao ndio waasisi wa hayo machafuko? Ndugu zangu let us think big. Huu u-CCM na u-Chadema usitufanye tukawa mazuzu wa kufikiria. Nina uhakika kabisa hili tukio halipangwa na CCM bali watu ambao wanajua wazi wakifanya hivyo chuki zitaelekezwa kwa CCM. Watu wenye maslahi na Chadema.
Wana Jf,
Hali si shwari katika uchaguzi mdogovwa makuyuni, CCM wamevamia vituo vya kura, mawakala wa CHADEMA wamepigwa vibaya sana.
Kamanda Nassari naye kaumizwa vibaya sana.
Jamani watanzania tunaelekea wapi kwa hali hii?
Ee Mungu utusaidie sisi wanao!
Mbona post ya Mungi inasema kapelekwa Babati wewe unasema Arumeru sasa tuelewe lipi?
Mkuu kunapost inasema nasari kashambuliwa kama kweli tangu lini wazee wakashambulia mtu kama ccm hakuna vijana.Kwa taarifa yako vijana wote tuko CHADEMA na CUF, CCM mmebakia wazee tu. 2015 tutawazika mkiwa hai kama wanavyozikwa wale wazee wachawi kule usukumani kama mtadiriki kuleta vurugu. Maana wakati huo kila mwana CCM atakuwa anajulikana, wale wateule watapata ulinzi wa CCM lakini nyie walalahoi tuko wote mitaani so moto mtauona
Kwa taarifa yako vijana wote tuko CHADEMA na CUF, CCM mmebakia wazee tu. 2015 tutawazika mkiwa hai kama wanavyozikwa wale wazee wachawi kule usukumani kama mtadiriki kuleta vurugu. Maana wakati huo kila mwana CCM atakuwa anajulikana, wale wateule watapata ulinzi wa CCM lakini nyie walalahoi tuko wote mitaani so moto mtauona
Mkuu hujuwi kuwa chama chako cha chadema ndiyo chanzo cha vurugu kwani kipindi hakikuwepo vurugu zilikuwope.
wekeni picha yake tuone kama ameumizwa. mimi nawaambia huyu dogo ni laini sana
acha tabia ya mbuni!