Geza Ulole,
Nadhani nyie Chadema ndio mgetueleza kwa nini viongozi wenu pamoja na wabunge wenu hawajaolea wala kuoa kama utapenda takutajia.
Hivi unajua mbinu wanayoitumia Chadema saizi wanasomba vijana kutoka maeneo ya Karatu na majimbo mengine kuleta kwenye mikutano yao.
Mikutano inajaa watu lakini mwisho wa siku vijana hao wanaosombwa hawataruhusiwa kupiga kura.
Ni bora mkutano wako uhudhuriwe na watu 20 watakaokupigia kura kuliko kuhudhuriwa na 100 ambao hakuna hata mmoja atakaekupigia kura.
Nafikiri kwa hoja hiyo mashiko yake ni kwa wapiga kura wanaoishi pembezoni mwa AM lakini ndani ya AM mambo ni tofauti kabisa, jiulize walikuwa wapi na hoja hiyo 2010? Zile kura alizopata zilikuwa za watoto au? utafiti unaonyesha kuwa ccm ilishafikia saturation point sasa ni wakati wa kuanguka hakuna namna ndio maana Igunga CDM ilitoka 0% mpaka 46% na AM tunatafuta chache kama 16-18% kushinda sasa wewe baki na hoja zako zisizo na maana usubiri mahesabu yatakapokuwa hadharani.Tatizo ni mila na desturi za Wameru na Wamasai ambao wengi wao ndio wakazi wa Arumeru.
Na hawataki siasa zivuruge mila zao wazee wa Ngarananyuki na Usa River wanasema.
Mzee Elimeleki, wa Usa River anasema "Uongozi wa mtu unapimwa kuanzia kwenye familia yake. Kama ni kiongozi wa ovyo, utaona anavyoishi na familia yake. Kama ni kiongozi mzuri, utaona familia yake inavyoishi kwa kuheshimu mila na pia kumheshimu mungu kwa kushiriki shughuli za kanisa...sasa huyu Nassari tutampima wapi jamani?
Kumbe bado anawafaa?? Kama kweli ataingia kwenye kampeni basi mmekwisha maana kitaifa kuondoa hilo kovu yahitaji neema si kwanguvu za kibinadamu...Mtu ambae atakayakwenda kumaliza kazi kabisa ni Edward Lowassa, kwa kutumia mtandao wake wa uongozi wa kimila katika jamii za Wameru na Wamasai, kimsingi mila na desturi zao hazitofautiani sana..
Laigwanani Mkuu ni kiongozi Mkuu wa kimila wa jamii ya Wamasai. Kwa sasa mtu mwenye kofia hiyo kwenye jamii ya wamasai ni Lowassa.
Ambaye anaheshemika sana kwa jamii za watu wa Arusha na Manyara.
Anategemewa kwenda Arumeru Mashariki wiki moja kabla ya uchaguzi.
Tuache ubishi hapo kura moja umepata.. hahahahahahBy ritz
Mzee Elimeleki, wa Usa River anasema "Uongozi wa mtu unapimwa kuanzia kwenye familia yake. Kama ni kiongozi wa ovyo, utaona anavyoishi na familia yake. Kama ni kiongozi mzuri, utaona familia yake inavyoishi kwa kuheshimu mila na pia kumheshimu mungu kwa kushiriki shughuli za kanisa...sasa huyu Nassari tutampima wapi jamani?
Mzee Elimeleki, wa Usa River anasema "Uongozi wa mtu unapimwa kuanzia kwenye familia yake. Kama ni kiongozi wa ovyo, utaona anavyoishi na familia yake. Kama ni kiongozi mzuri, utaona familia yake inavyoishi kwa kuheshimu mila na pia kumheshimu mungu kwa kushiriki shughuli za kanisa...sasa huyu Nassari tutampima wapi jamani?