Sisi Arumeru tunaka kuongozwa na mtu makini kama nassari sio mtu wakubebwa kama sioi .Kama ajaoa hicho si kigezo mbona Padri aoi na anatungoza kwenye sara,ushauri na pia jamii hata siku moja hatuwezi kutamka mbona hana familia.Kigezo pale busara zake uwezo wake wa kuongoza familia yake kwetu aitusaidii maana hawezi kwenda nao Bungeni na wamsadie kutatua kero zetu.