Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Ili kujihalalishia uungwaji mkono miongoni mwa jamii za Wameru na Wamasai Chadema wameamua kuonyesha picha mbalimbali za Nassari wakidai anaombewa baraka na kina mama wa jimbo hilo.
Huku wengine wakiwa wamevalishwa mavazi ya CCM na skafu za CCM, ni za kupanga zinazolenga kujenga tu imani na matumaini kwa watu walioko nje ya jimbo hilo kuwa mgombea huyu anapendwa.
Mila za watu wa Arumeru ni tofauti sana na maeneo mengine.
Hivi wewe ni mmeru wa wapi? Naomba unijibu kilugha - KIMERU ili niamini kuwa wewe ni meru na unayajua usemayo.