OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,181
- 103,680
Heshima yako mkuu, kwanza hongera kwa ushindi wa kishindo ktk kura za maoni ambao nadhani hautatofautiana sana na ushindi wenyewe!
Ningependa nichukue fursa hii kukuomba uje hapa jamvini ujadili na great thinkers (japo sio wote) ni jinsi gani tunaweza kujenga Arumeru na Tz kwa ujumla wake. JF ni mtandao usiokwepeka kwa sasa, naamini ya kuwa unapata fursa japo ya kuchungulia kilichomo, laini sasa ni mda mwafaka wa kujitokeza rasmi kama Mwamba wa Kaskazini ili tubadilishane mawazo juu ya mchakato mzima wa kampeni na uchaguzi AM. JF imejaa vijana wenye vipawa wenye high thinking capacity na wapo wanaokuzidi hata wewe, wanaojua vizuri siasa ya Arusha na Tz, njoo upokee mawazo yao. Pia be patient, utakutana na wakatisha tamaa walioapa kutumiwa na Magamba mpaka mwisho wa pumzi zao, wavumilie!
Huku tukikusubiri kwa hamu toka moyoni tunaanza safari ya majadiliano ya sisi kwa sisi.Naamni ujumbe utakufikia kwa namna yoyote ile, Dr.Slaa, Zitto, J.Mnyika mfikishieni ujumbe bwana mdogo,tunahitaji kumpa mawaidha maana tunajua anayo safari ndefu kufikia malengo ya Wana-Arumeru.... Peopleeeeez Power, Pamoja tutashinda
Ningependa nichukue fursa hii kukuomba uje hapa jamvini ujadili na great thinkers (japo sio wote) ni jinsi gani tunaweza kujenga Arumeru na Tz kwa ujumla wake. JF ni mtandao usiokwepeka kwa sasa, naamini ya kuwa unapata fursa japo ya kuchungulia kilichomo, laini sasa ni mda mwafaka wa kujitokeza rasmi kama Mwamba wa Kaskazini ili tubadilishane mawazo juu ya mchakato mzima wa kampeni na uchaguzi AM. JF imejaa vijana wenye vipawa wenye high thinking capacity na wapo wanaokuzidi hata wewe, wanaojua vizuri siasa ya Arusha na Tz, njoo upokee mawazo yao. Pia be patient, utakutana na wakatisha tamaa walioapa kutumiwa na Magamba mpaka mwisho wa pumzi zao, wavumilie!
Huku tukikusubiri kwa hamu toka moyoni tunaanza safari ya majadiliano ya sisi kwa sisi.Naamni ujumbe utakufikia kwa namna yoyote ile, Dr.Slaa, Zitto, J.Mnyika mfikishieni ujumbe bwana mdogo,tunahitaji kumpa mawaidha maana tunajua anayo safari ndefu kufikia malengo ya Wana-Arumeru.... Peopleeeeez Power, Pamoja tutashinda