BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Umeongea kishabiki au umeongea kama mtu unayejua masumbwi? Nijibu kwanza nione kama naweza kuongea kwa hoja na mtu anayejua professional boxing na kuweza kuchambua kitaalamu
Hahahah kwahio boxing kwa uelewa wako mkubwa ni KO au TKO tu ? Unafikiri brilliant boxer kama Joshua alienda pale kipuuzi puuzi tu ?! Mikanda minne on the line, unafikiri utaenda kipuuzi puuzi tu utafute KO au TKO ?! you must be jokingIshu sio kujua au kutokujua,mabondia wa skuhiz ujanja mwing,body physiq ya joshua tuu inatosha kusema atampiga Andy kwa KO,kashindwa,akat yeye alipigwa kwa KO,..joshua si mkali kabisa,huwez pigana na kibonge kama yule halaf wew ni nigga na ushindwe kutupa mchezo mzur..kiufup joshua hana tofaut na mwakinyo,..mbona wildet anatupaga raha,na anakutana vidume kwelkwel,..sasa andy si wa kumtoa kijasho vile joshua Period.
Usijifanye unajua saaana akat hujui kitu,sport iwe sport kwel na ladha,si ujanja ujanja
Mkuu , shida sana kubishana na mashabiki wa michezo , na sio wapenzi wanaojua mchezo fulani kwa undaniKwenye boxing kumkimbia mwenzio ni mbinu na sio uoga,
Mtu kama koba kimanga enzi izo ukimsogelea karibu ana kuua,ni fundi wa upper cut na cross,lazma ukaenae mbali,
Chibonge ukikaa nae karibu anakuangusha kila round
utakuwa Lennox Lewis wewe ngoja tusubiri jibu lako mwenzio aliambiwa anavaa ka tupac 🤣 🤣Uzi tayar
Hakuna kitu pale,
Na ndomana wanamkwepesha asikutane na wilder
Kama umedhani physic ya Joshua ilitosha hata Bruno kwa Tyson asingekalishwaIshu sio kujua au kutokujua,mabondia wa skuhiz ujanja mwing,body physiq ya joshua tuu inatosha kusema atampiga Andy kwa KO,kashindwa,akat yeye alipigwa kwa KO,..joshua si mkali kabisa,huwez pigana na kibonge kama yule halaf wew ni nigga na ushindwe kutupa mchezo mzur..kiufup joshua hana tofaut na mwakinyo,..mbona wildet anatupaga raha,na anakutana vidume kwelkwel,..sasa andy si wa kumtoa kijasho vile joshua Period.
Usijifanye unajua saaana akat hujui kitu,sport iwe sport kwel na ladha,si ujanja ujanja
OoohSure kabisa, yani pambano zima anakimbia tu. Joshua anabebwa, akutane na wilder aone atavyochezea KO za kutosha.
Nakujib hiv,Aj katuaibisha maniga,huwez pigana na chibonge uliemshinda kila kitu halaf ushinde kwa point pambano la comeback na hapohapo yeye na ubonge nyanya wake alikushinda kwa KOUmeongea kishabiki au umeongea kama mtu unayejua masumbwi? Nijibu kwanza nione kama naweza kuongea kwa hoja na mtu anayejua professional boxing na kuweza kuchambua kitaalamu
Mkuu naheshimu mawazo yako sina budi, ila mimi na wewe tuangalie namna ambayo tunaweza siku moja kuingiza bilioni 140 tsh kwa siku moja kama Anthony Joshua.Nakujib hiv,Aj katuaibisha maniga,huwez pigana na chibonge uliemshinda kila kitu halaf ushinde kwa point pambano la comeback na hapohapo yeye na ubonge nyanya wake alikushinda kwa KO
Ninayoingiza kwasasa inanitosha sana mkuu,kama heshima nafanya bar,natembelea matak.o,nina ka mjengo, si haba,madem zenu nala,what more can i say,...ushabik utaendelea kuwepo na critics ztaaendelea kuwepo na ndomana michezo ipo dunian,elewa hillo,na ndomana tyson legacy yake ipo na itaendelea kuwepo dunia nzima,kipimo cha nguvu na umwamba,na ndomana had kuna vinywaj had huku 3rd world countries vinaitwa tyson,hutaskia mmmuhamad ali or lewis or floyd,ndo ujue kua ushabik ni zaid ya hyo 140bil,..Mkuu naheshimu mawazo yako sina budi, ila mimi na wewe tuangalie namna ambayo tunaweza siku moja kuingiza bilioni 140 tsh kwa siku moja kama Anthony Joshua.
KO zinakuwa ngapi tena??Sure kabisa, yani pambano zima anakimbia tu. Joshua anabebwa, akutane na wilder aone atavyochezea KO za kutosha.
Mkuu ulikuwa nao camp?Aj Katumia wiki 12 kwa ajiri ya maaandalizi ya pambano lakini Luiz Katumia wiki 3 tu kujifua kwa ajiri ya pambano ilo..
AJ kashinda ndiyo lakini kwa mbinde sana.. chichiii chiiii chibonge yuko vizuri sana.