THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
TUNTEMEKE YUKO WAPI??
AJE HAPA TUMSKIE NAYEYE??!!
:madgrin: :madgrin:
AJE HAPA TUMSKIE NAYEYE??!!
:madgrin: :madgrin:
pia kuna tetesi kuwa nape atagombea jimbo la IRAMBA M.kwa mwigulu 'mchemba'Wanabodi.
Joto la Uchaguzi Mkuu linazidi kupamba moto baadhi ya makada wa Chadema wameanza kutangaza nia zao za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho. Habari za ndani kabisa kutoka Makao Makuu ya Chadema pale Kinondoni Mtaa wa Ufipa kupitia kwa kada wa siku nyingi wa Chadema zinasema kuwa Josephine Mshumbusi, amejiandaa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia Chadema mwaka 2015.
Jimbo la Kawe kwa sasa linaongozwa na Mbunge Halima Mdee, kupitia Chadema pia, inasemekana imetokea sintofahamu kati ya Halima Mdee na uongozi wa juu wa Chadema baada ya Josephine, kutangaza nia yake ya kulitaka jimbo la Kawe imefikia mpaka Halima Mdee kususia mikutano na harakati za M4C.
Tatizo huyu mchumba wa Slaa ni much know sana!! Ulishawahi kumsikia mke wa Mbowe au wa kiongozi yoyote wa CDM???kama kweli hivi ni vyanzo tata.So ajipange upya kudanganya na sijawahi kujua Josephine aliwakosea nini hawa vijana maana kila kukicha na kila ukiona mada zao asipotajwa basi ujue kuna watu wanalia kwa kutukanwa matusi.
umesahau mama Nec baba mwenyekiti mtoto nec kwenye ile familia ya sultan kikweteHahahahahaha...
Mume rais
Mke Mbunge!!
Chedama oyeeee!!
Mkuu huu u-much know huwa anauonyeshea wapi?!Tatizo huyu mchumba wa Slaa ni much know sana!! Ulishawahi kumsikia mke wa Mbowe au wa kiongozi yoyote wa CDM???
Inabidi ajifunze kujiweka chini ili watu wamkweze! Siyo kila kitu anakirukia rukia tu hovyo hovyo!
Mke wa sultan kikwete siyo much know? Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh! Mashavu yanatanuka tuuTatizo huyu mchumba wa Slaa ni much know sana!! Ulishawahi kumsikia mke wa Mbowe au wa kiongozi yoyote wa CDM???
Inabidi ajifunze kujiweka chini ili watu wamkweze! Siyo kila kitu anakirukia rukia tu hovyo hovyo!
Hapa JamiiForums.Mkuu huu u-much know huwa anauonyeshea wapi?!
Hapa JamiiForums.
Thread yoyote inayohusu CDM au mchumba wake ikianzishwa hapa huwa anaingia haraka haraka kuclarfy issues wakati yeye hapaswi kufanya hivyo. Mambo mengine huwa yanahusu chama naye huja kuyajibu, utadhani yeye ndiye msemaji mkuu wa CDM!!
Mkuu kumbe ulikuwa hujui ukiwataja Sheh Mukudamu Swalehe na Sheh Ponda Issa Ponda,Ritz utulia kama maji yaliopo mtungini!!Chademaphobia ... kulikuwa na habari humu ya sheh ponda kugombea ubungo .... mbona hauifuatilii
Mkuu tuwe serious wakati mwingine,wote wawili hawatambuliwi na katiba,labda katiba ya chama chenu au nyingine unayoijua wewe!Precise pangolin,
Mama Salma Kikwete Katiba ya JMT inamtambua! huwezi kufananisha na mke wa katibu wa chama kidogo tu cha siasa.
.Ukikosa cha kuandika siukae kimya tu kulikokuonyesha jinsi ubongo wako ulivyo na madhaifu