Josephine:"JF Female Politician Of The Year 2011"


Kabla hujalaumu na kuanza kutoa lugha ya kashfa pitia:

1. Kura Za Maoni: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/230046-jf-m-and-f-politician-of-the-year-2011-competition.html
2. Upigaji Kura:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/231099-jf-female-politician-of-the-year-2011-a-2.html

Halsfi jiulize wewe ulishiriki vipi?

Tu wepesi sana wa kulaumu lakini ushiriki wetu ni kidogo au hakuna. Na kama wengine walimpendekeza, ulitaka Mwenyekiti JEC alete wake wa kuchongwa?

Hebu tuheshimu maoni ya wengi afterall hii ni thread kama thread nyingine na SM hana copy rights.

Kama hujaridhika unaweza kuanzisha shindano lako uone jinsi ilivyo rahisi.

Hata hivyo kama una hoja nzito unakaribishwa ili wadau waijadili.


Lugha gani ya kashfa nimetoa?
A poor execuse ni lugha ya kashfa?
Nipe ban basi maana haitakiwi humu.

Anyway,hongera kwa shindano lako lililo "tupatia"
JF female "politician" of the year.
Nilikuwa sijui kama mashabiki wa siasa nao ni wanasiasa.

By the way,sio kila mtu kila saa anatafuta thread ya Superman,
au ana ingia JF.
Na haimaanishi kwakua haingii au hatafuti topic ya superman,basi hana
haki ya kusema kwa hili mmekosea,na kweli MMEKOSEA.

Like it or hate it.
 
@Ribosome @Speaker @Superman @Saint Ivuga.... Kama hamtojali.... Nashauri Kabla ya kurushiana Maneno na kupoteza Energy Mkumbuke na kukubali kua Upande wa washindani wa Siasa hasa waliowakilisha Wanawake, ilikua sio mashindano dhidi ya Faiza na Josephine.... Ilikua Mashindano Dhidi ya vyama vya CCM Vs CDM na wepi ambao wafuasi wao walikua wengi wa kutosha kuhakikisha mtu wao Kashinda. Hata hivo hayo ndio matokeo ya Wana JF wenyewe... Hivo inabidi kwa kweli yaheshimiwe... thou yanatoa taswira ya hasa the way Wana nchi hasa wanachama tuhavo unga hoja siio kwa kuzingatia kipi bora... Lah! bali kwa kuzingatia alosema katoka kundi gani.... Mfano Mzuri mgomo wa Madaktari....

AD; I am sorry to say I know nothing about the candidates and what they believe.

However ina Democeratic Process let people choose what they want.

Sasa wakichagua mbona tunalalamika?

Sioni tofauti ya nulalamikaji wa ule Uchaguzi Mkuu wa Nchi na huu.

Waliopiga kura 42%. Then matokeo yakitoka malalamiko yanaanza kwa kutoa sababu luluki ambazo hazina mshiko. haisaidii.
 
Mkuu, that is what we call "Name Calling" na msumeno wake uko wazi.

Hivi unajua Superman ni nani? JK? Waziri? Mbunge?
Speaker je? Ni Kiongozi? balozi?
Fox Faiza je?

Panapofanyika maamuzi it is too late to complain. Ungeanzia kwenye Mchakato Mkuu.

Subiri next Competition.


What is name calling bana usinitishe.
kutaja Josephine ni name calling?
Yes,umetaja watu mara ngapi humu?

Yaani kutaja wewe sawa,kutaja mimi "name calling" na adhabu yake inajulikana?
Okey,waambie waitoe.
 
Huyu yuko wapi?

Ana ban ya maisha,lakini alikuwa ana shindanishwa hapa.
Nashani shindano lingeitwa "JF female politician spectator of the year"
sio politicians.
Huku ni kutukana wale wanao deserve.

Kama alivosema,labda next year ATA fanya zuri zaidi.
 
AD; I am sorry to say I know nothing about the candidates and what they believe. However ina Democeratic Process let people choose what they want. Sasa wakichagua mbona tunalalamika? Sioni tofauti ya nulalamikaji wa ule Uchaguzi Mkuu wa Nchi na huu. Waliopiga kura 42%. Then matokeo yakitoka malalamiko yanaanza kwa kutoa sababu luluki ambazo hazina mshiko. haisaidii.
Mkuu.... I believe your belief is genuine.... Maybe it is because I spend a lot of time here than you do... Maybe it is because I know the extent of both candidates inputs and dedication in their beliefs and what they Stand for... A common thing we have in common with a lot of frequent Members is we Know... Faiza is a Devout CCM Member and Josephine is a Devout CDM Member. That factor... from my observation was the only thing which was considered and underlined reason enough by MOST Voters... Sad but true... BUT not the guidelines you had provided. Hata hivo Lawama hazitakosa.... Hivi kuna Mtu kabahatika kushinda na hajalaumiwa na baadhi kua hafai? Sidhani kama yupo....
 
@Ribosome @Speaker @Superman @Saint Ivuga.... Kama hamtojali.... Nashauri Kabla ya kurushiana Maneno na kupoteza Energy Mkumbuke na kukubali kua Upande wa washindani wa Siasa hasa waliowakilisha Wanawake, ilikua sio mashindano dhidi ya Faiza na Josephine.... Ilikua Mashindano Dhidi ya vyama vya CCM Vs CDM na wepi ambao wafuasi wao walikua wengi wa kutosha kuhakikisha mtu wao Kashinda. Hata hivo hayo ndio matokeo ya Wana JF wenyewe... Hivo inabidi kwa kweli yaheshimiwe... thou yanatoa taswira ya hasa the way Wana nchi hasa wanachama tuhavo unga hoja siio kwa kuzingatia kipi bora... Lah! bali kwa kuzingatia alosema katoka kundi gani.... Mfano Mzuri mgomo wa Madaktari....

Much respect AD,i better log off now.
 
Hivi jamani why Name Calling? Unajua hili ni kosa kubwa sana hapa JF. Hivi wangapi wana majina hayo?

So aloshinda ni Josephine yupi?
Au ni woooote wanao itwa josephine?

haha,utanambia "name calling" tena.
 
@Ribosome @Speaker @Superman @Saint Ivuga.... Kama hamtojali.... Nashauri Kabla ya kurushiana Maneno na kupoteza Energy Mkumbuke na kukubali kua Upande wa washindani wa Siasa hasa waliowakilisha Wanawake, ilikua sio mashindano dhidi ya Faiza na Josephine.... Ilikua Mashindano Dhidi ya vyama vya CCM Vs CDM na wepi ambao wafuasi wao walikua wengi wa kutosha kuhakikisha mtu wao Kashinda. Hata hivo hayo ndio matokeo ya Wana JF wenyewe... Hivo inabidi kwa kweli yaheshimiwe... thou yanatoa taswira ya hasa the way Wana nchi hasa wanachama tuhavo unga hoja siio kwa kuzingatia kipi bora... Lah! bali kwa kuzingatia alosema katoka kundi gani.... Mfano Mzuri mgomo wa Madaktari....

AD; I am sorry to say I know nothing about the candidates and what they believe.

However ina Democeratic Process let people choose what they want.

Sasa wakichagua mbona tunalalamika?

Sioni tofauti ya nulalamikaji wa ule Uchaguzi Mkuu wa Nchi na huu.

Waliopiga kura 42%. Then matokeo yakitoka malalamiko yanaanza kwa kutoa sababu luluki ambazo hazina mshiko. haisaidii.
 
Mkuu Superman,
Ukiwa kama Mkuu wa Tume ya Uchaguzi, next compotition jaribu kuja na utaratibu zaidi ya huu ikibidi members washirikishwe katika kupata majina na kuyachuja kabla kuyaingiza kwenye shindano, ili kuondoa malalamiko kama haya.
 
Mkuu Superman,
Ukiwa kama Mkuu wa Tume ya Uchaguzi, next compotition jaribu kuja na utaratibu zaidi ya huu ikibidi members washirikishwe katika kupata majina na kuyachuja kabla kuyaingiza kwenye shindano, ili kuondoa malalamiko kama haya.

Mkuu uchaguzi ulikuwa huru na wa haki kabisa.Na mshindi amestahili.Nampongeza sana mwenyekiti Superman kwa usimamizi mzuri.
 
What is name calling bana usinitishe.
kutaja Josephine ni name calling?
Yes,umetaja watu mara ngapi humu?

Yaani kutaja wewe sawa,kutaja mimi "name calling" na adhabu yake inajulikana?
Okey,waambie waitoe.

Mkuu, unaandika sana kisha una-spin. Tunakukumbusha wajibu wako kufuatana na sheria za JF. kamata hii tena toka keyboard yako:

Mkuu JouneGwalu.
Heshima kwako,long time sana.
Please,unaweza nambia Josephine amewahi kuchangia hoja yenye mashiko hapa JF?
Au amewahi kuanzisha topic ipi inayo onesha kweli ni mwanasiasa?

Me naona kashinda kishabiki tu kwa jina la Dr.Slaa,hajafanya lolote humu zaidi ya ushabiki
na wana JF walivo vipofu pale inapo tajwa chadema basi hawa reason hata kidogo.

Hilo title halikupaswa kuwepo maana hakuna anae deserve kati ya walo tajwa.
Mmoja ni mdini sana,mwingine ni shabiki shabiki tu.siasa iko wapi hapo?
 
umekaa chumbani kwako ukajitungia mtihani ukaufanya wewe,ukajisahishia ukajipa alama/marks sasa unajitangazia matokeo,hongera.yetu macho.
 
Ana ban ya maisha,lakini alikuwa ana shindanishwa hapa.
Nashani shindano lingeitwa "JF female politician spectator of the year"
sio politicians.
Huku ni kutukana wale wanao deserve.

Kama alivosema,labda next year ATA fanya zuri zaidi.

Duh jamaa yangu arguments zako zinatupa raha. Hili ni shindano la 2011 ndo maana ameingia kwani alikuwepo. Hata Regia pia alikuwa nominated katika hili.
 
Mkuu Superman,
Ukiwa kama Mkuu wa Tume ya Uchaguzi, next compotition jaribu kuja na utaratibu zaidi ya huu ikibidi members washirikishwe katika kupata majina na kuyachuja kabla kuyaingiza kwenye shindano, ili kuondoa malalamiko kama haya.

Mkuu kwa wiki mbili hiyo ndo kazi niliyofanya. hakuna hata jina moja langu binafsi. Nilipitia kila post kuchukua mapendekezo yao, kuhesabu kura huku kila moja akihakiki, nini zaidi kifanyike?

Baadhi walilaumu ukiwaita waje JEC kusaidia, excuses kibao.

Anyway, that is part of fun in JF.
 
umekaa chumbani kwako ukajitungia mtihani ukaufanya wewe,ukajisahishia ukajipa alama/marks sasa unajitangazia matokeo,hongera.yetu macho.

Hivi umetake trouble kusoma hata main post? Kupitia Mchakato ulivyokuwa?

Au ndo "Ndugu lawama bora tu unajua ku-type?"
 
Mkuu kwa wiki mbili hiyo ndo kazi niliyofanya. hakuna hata jina moja langu binafsi. Nilipitia kila post kuchukua mapendekezo yao, kuhesabu kura huku kila moja akihakiki, nini zaidi kifanyike?

Baadhi walilaumu ukiwaita waje JEC kusaidia, excuses kibao.

Anyway, that is part of fun in JF.

Mkuu Superman,
Ndio changamoto zenyewe ni vizuri kuboresha huu uchaguzi viwepo vipindi vya kampeni na siku za kupiga kura zipewe muda zaidi uchaguzi utangazwe kwa muda mrefu na tuangalie asilimia za kura anazopata mgombea zinastahili kumpa ushindi.

Hongera Josephine.
 
Mkuu JouneGwalu.
Heshima kwako,long time sana.
Please,unaweza nambia Josephine amewahi kuchangia hoja yenye mashiko hapa JF?
Au amewahi kuanzisha topic ipi inayo onesha kweli ni mwanasiasa?

Me naona kashinda kishabiki tu kwa jina la Dr.Slaa,hajafanya lolote humu zaidi ya ushabiki
na wana JF walivo vipofu pale inapo tajwa chadema basi hawa reason hata kidogo.

Hilo title halikupaswa kuwepo maana hakuna anae deserve kati ya walo tajwa.
Mmoja ni mdini sana,mwingine ni shabiki shabiki tu.siasa iko wapi hapo?

Mkuu wangu Speaker, nashukuru umenikumbuka mara zote toka umerudi kwa ID hii hatujajadili...
Kila siku nilikuwa nasema nitakutafuta nikupongeze, mambo yanaingiliana...!

Mi msimamo wangu juu wa hizi tuzo za "Superman", kwanza nachulia kama burudani hivi hapa jamvini..
Hivyo haziniumizi kichwa kabisa, na kwa kiasi kikubwa wala sijazichukulia seriouz kivile,
Na kwa kikweli ushiriki wangu umekuwa kama % 10 hivi, hizo 90% nimekuwa busy na thread zingine za maana kwangu.

Mkuu Speaker, tukubali kuwa hapa JF tunafanya kazi kubwa sana katika kutengeneza fukuto la aina yake katika upepo wa siasa za nchi yetu.
Lakini tukubali tu kuwa kuna mda wa kuvuta pumzi katika kila kitu Mkuu...
Nakumbuka zile siku nilikuwa home na BABA (rip) tuanaangalia movie ya "Escape from Sobibor",
Ikatokea part jamaa yupo na demu wanajiliwaza kidogo, basi Mzee wangu kwenye kuzuga akaniambia
"Ah ndio hivyo acha wajiliwaze, maana kila saa wanazungumzia damu na kutoroka"

Kwahiyo Mkuu wangu Speaker, mi nachukulia hichi kinyang'anyiro cha Superman kama kibwagizo tu baada ya kujadili mambo mazito ya wakina "Hutaki Unaacha" na wadau wengine, saiv kwenye sakata hili la Madaktari kuna updates toka kwa kina Dr Klinton na Vimon.....

Hivyo ndugu yangu Speaker nashauri tukaze misuri yetu kwenye hizo nondo zenye kuhusu nchi moja kwa moja,
hizi zingine ni kama chai tu za jamvini wala zisikupasue kichwa na kuweka kudu....
Hebu tutoke kwanza kwenye hii thread.
 
Back
Top Bottom