MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,684
- 6,478
Labda aje Mr. NiceIweje nini?
Hapo Rombo mikutano ya CCM pekee ndio inakuwa na nyomi la ukweli!
Labda aje Mr. NiceIweje nini?
Hapo Rombo mikutano ya CCM pekee ndio inakuwa na nyomi la ukweli!
Huyu utafikiri siasa za uchagani hazijui.kwanza Selasini alichaguliwa si kwa sababu yeye anakubalika bali chama ndicho kilimbeba kutokana na chadema kukubalika katika ukanda huu.Tz kuna vyama 2 washindani CHADEMA na CCM.Apambane hamna namna
Hahahaaaaa jinsi watu wamejaa au.Sory mkuu hapo ndie yuko wapi
NdioHahahaaaaa jinsi watu wamejaa au.
Alidhani yeye ni star. Kumbe Chadema ndiyo ilikuwa ikimpa umaarufu na pesa za kuweka nywele die..Kuna nyomi
Ova