Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA ndugu Joseph Selasini ambaye alihamia NCCR mageuzi anaendelea na kampeini za kuusaka ubunge.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.
Leo hii amevunja rekodi kwa kukusanya kijiji jimboni na kusababisha shughuli za ujenzi wa taifa kusimamishwa kwa muda.
Kweli malipo ni hapa hapa duniani na dawa ya msaliti ni kumsaliti.