May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Ule usemi wa "kufa kufaana" hauna chama.Selasin alikuwa anakaimu tu sasa madai ya kupewa nyumba alijuaje kama Lisu hatapona na kurudi bungeni na kuchukua nafasi yake au alikuwa anaomba Lisu asipone
Sent using Jamii Forums mobile app