JOSEPH MBILINYI aka SUGU aka KINEGA ATANGAZA VITA NA AIRTEL...

mimi hawa airtel nawalaumu kitu kimoja tu. ukipiga simu unasikia nyimbo za bongo fleva wakati simu inaita, lakini hawa wasanii hawanufaiki chochote kutokana na kazi yao. halafu huyo sharobalo wao anapenda sana sifa, kusikika kwenye radio na kwenye magazeti. mi ananiudhi kama kuna band inapiga anaenda kuza halafu anajifanya kucheza cheza pale mbele ili magazeti ya udaku yampige picha. VINEGA wanamulaumu kwa sababu ametoa udhamini kwa clouds ili wakawachafue vinega. Mia
 
twissa kufanya hivi sishangai jamaa ni bonge la pimbi na hupenda kushobokea watu ambao anahisi watampa jina mjini nakumbuka alivyokuwa ameanza tigo akitoa msaada ngoma ikitoka gazetini basi lazma ailete skani coco watu washuhudie ila vita hii inaponishangaza kila siku wanaoshiriki ni washamba toka mikoani wajanja wa mji wako mitkasi yao ya kupiga pesa!.......

Utawala wa baba riz1 ukiondoka jamaa watafulia mzee mvi atawakomesha tu wale za mwisho.
 
AIRTEL ni kampuni ya kimataifa,alafu watu kama Twissa wanaingiza mambo ya uswahili..anaweza chukulia poa ila inamshushia sana.
 
Kweli unachosema ila suala ambalo wanachotakiwa kufanya ni kuwa na strategies za mapambano.Sina shaka na sugu kwani mpaka kaingia kwenye hii vita basi amejipanga na kuna watu wapo nyuma yake.Kuhusu wao kuwa na hela so hawashindwi,hiyo sio hoja...hawana hela hata kidogo.Waliokuwa matrilionea Rais wa Egypt na Libya wapo wapi?. Suala la Twisa likigundulika kwenye kampuni ya Airtel kam ni kweli anajihusisha kwenye ugomvi wa wasanii kwa kutumia influence ya kampuni ni tatizo kubwa sana na hawata mwaacha (Aitel ni company kubwa sana yenye kufuata misingi ya uzalishaji - kimataifa),so hata siku moja body of directors ama mgt hawata kubali kuiingiza kampuni kwenye maswala ambayo yataleta mahusiano mabaya na wateja wao.Je kitendo cha Twisa kuiingiza Airtel kwenye huo ugomvi kuna justification za wateja kuongezeka airtel ? Ama watapoteza wateja ? hata kama ni mmoja.....
Mwanaharakati yeyote hatishwi na maneno ya kwenye magauni kama hayo! SUGU ni mwanaharakati wa ukweli tokea enzi za Mikononi mwa polisi mpaka leo Mhe. Mbunge, hiyo ni ishara tosha kuwa mwanaharakati hakatishwi tamaa na maneno ya waoga kama baadhi yenu! Big up Sugu mpaka kieleweke!
 
muziki ni biashara
sasa kinachotakiwa ni kuweka mazingira ya kibiashara yaliyo fair

ili kila mdau afaidi na watu washindane kwa usawa......muziki sio siasa
umakini unahitajika kutengeneza 'music industry' na sio vuguvugu tu la nguvu ya soda....
 
Mwanaharakati yeyote hatishwi na maneno ya kwenye magauni kama hayo! SUGU ni mwanaharakati wa ukweli tokea enzi za Mikononi mwa polisi mpaka leo Mhe. Mbunge, hiyo ni ishara tosha kuwa mwanaharakati hakatishwi tamaa na maneno ya waoga kama baadhi yenu! Big up Sugu mpaka kieleweke!

Nyie munashabikia ujinga tu wa Sugu naye alivyopunguani wa mawazo. Huyo kachaguliwa na wananchi wa Mbeya lakini anawatumikoa wasanii. Tuone kitakachompata mwaka 2015 atakavyobako peke yake baada ya kutoswa ucjaguzi.
 
Thanks

Najua ana point za ukweli, lakini ajue kwamba Twisa cant decide by himself, there is a process to approve marketing and sponsorship events. Twisa by the way alishapoteza maana alipokwenda Serengeti na kutoswa na kurudi aritel (which is strange)

Sugu apunguze lugha kali na vita vya sauti kuu, aangalie the other side while continuing fighting virus

katupia comment fb
Joseph Mbilinyi: Its like De Ja Vu...!!!lakini tutaelewana tu..maana niliposema mbeya hatukutaka fiesta meseji negative zilikuwa nyingi sana lakini baadaye tukaelewana na tukaenda sawa...kupambana na ugaidi ni pamoja na kuzuia mirija ya mapato kwa magaidi...hapa tunafungua mjadala mwingine kwa maslahi ya kundi kubwa la watu(vijana) kuliko kampuni moja so njia zote za mapigano ni halali.na ni wajibu wa hayo makampuni kuajiri waadilifu..anyway u wait n see !!!
 
muziki ni biashara
sasa kinachotakiwa ni kuweka mazingira ya kibiashara yaliyo fair

ili kila mdau afaidi na watu washindane kwa usawa......muziki sio siasa
umakini unahitajika kutengeneza 'music industry' na sio vuguvugu tu la nguvu ya soda....

kinega Sugu akatupia na hiyo

Joseph Mbilinyi:...Marketing departments ndo zinabeba sura za makampuni,so maofisa wao wakifanya madudu tutawachana wao na kampuni zao...hakika hawa washkaji wa masoko hawawezi kwepa lawama kwa kuchangia umaskini wa wasanii kwa kuhusika moja kwa moja kwenye 'dark businesses' ndani ya showbiz ya bongo...hii si vita nyepesi na tutapitia maamuzi magumu mengi kabla ya ushindi kamili...about an hour ago · 5
 
Mimi sio mshabiki wa upande wowote kati ya Sugu na Ruge, lakini kama itatokea watu au kikundi chochote kikafanya tukio la kuvunja line ya mtandao fulani mbele ya umati mkubwa wa watu ni issue kubwa kwa kampuni husika na kama kweli liko kibiashara lita-assess nini chanzo na yeyote atakayeingia kwenye link atapunguziwa majukumu, believe me Twisa hatakuwa safe kama vinega watafanya hii kitu.
Ushauri ni kwamba as far as marketing strategies are concerned, the public/social coy needs to play it under safe grounds, which leaves them undoubted.
 
muziki ni biashara
sasa kinachotakiwa ni kuweka mazingira ya kibiashara yaliyo fair

ili kila mdau afaidi na watu washindane kwa usawa......muziki sio siasa
umakini unahitajika kutengeneza 'music industry' na sio vuguvugu tu la nguvu ya soda....
Ni kweli mkuu,wasanii wanapaswa kuweza kwa mfano kuingia mikataba na makampuni kama Airtel bila kupitia influence ya Ruge! Wasanii wajipange ili wao wenyewe waundeshe muziki bila kutegemea influence ya wezi!
 
Watanzania tunaogopa sana mabadiliko,mi nilijua ni kwenye siasa pekee..waoga waoga waoga!
Mabadiliko hayaji uku watu wanacheka jamani,maamuzi magumu yanaitajika sometime..tuache kuishi kwa mazoea,yale mambo ya kuacha vitu viende tu kama vile aina jinsi,eti kisa ukikomaa sana unajichoresha utaonekana nuksi.

Kuna siku mtamwelewa tu Sugu..
 
Vinega wameshaanza kuchanganyikiwa. Wanataka kuwafundirha Airtel nani anafaa kudhaminiwa na nani hafai?. Shame on them.

Kinega D

D wa Maujanja saplayaz:Unajua wa2 hamuelewi na mnafikiria kwamba eti adui ni ruge na cloudz pekee hapana ni mtandao mzima kuna mtandao mkubwa hapo híi ishu sio ndogo km mnavofikiria mtandao huu ni kwamba ukiomba udhamini huwezh kupewa hadi ufanye kazi na prime tyme coz ndo wanaamini wanaweza kufanya show zikafanikiwa na kuna percent huwa wanagawana na mameneja masoko ila amini usiamini 2tavunja hii miiko kuna alieamini cloudz wangefulishwa cku moja? Sembuse hawa mameneja masoko acheni kuogopa nakuona vi2 haviwezekani hakuna kinachoshindikana hapa 2namwamini mungu na2najua 2nachokipigania ni haki cc ha2igizi 2ko seriouz with it
 
Ni kweli mkuu,wasanii wanapaswa kuweza kwa mfano kuingia mikataba na makampuni kama Airtel bila kupitia influence ya Ruge! Wasanii wajipange ili wao wenyewe waundeshe muziki bila kutegemea influence ya wezi!

‎Joseph Mbilinyi: @Fol...hawa walifika mbali kaka,walijitengenezea like a cartel of partners in crime...kwamba hata ukiwa tayari kuwakatia hiyo percent bado watakuzungusha na sana sana wao ndo watapeleka idea yako kwa clouds fm na wataifanya mbele ya macho yako...ITS SO PATHETIC!!!about an hour ago · 1
 
Benjamin Salanya Jr: Ubunge sio kipaji ni nafsi tena aliyopewa na watu ambao ndio wanaomshauri sasa@Saleh Wendo, Sina hakika kama Sugu ulikutana na marketing Departiment ya Airtel na kuwapa proposal zako zaid ya Kelvin ambaye ni m2 mmoja tu ndani ya Idara....Show ya vinega haikua lazima idhaminiwe na Airtel unataka kutuambia nini juu ya hizo kampuni? Aitel kama kampuni ina haki ya kudhamin chochote kwa manufaa yake kwa hapo haijanyonya yeyote, wala haijui chochote juu ya wasanii na masponsa wao......‎

Joseph Mbilinyi:@salanya...mkuu unaonekana hujui kabisa haya mambo na hii vita...nadhani nahitaji kipindi cha redio au tv ili kuwaelewesha watu kama wewe...hizo proposal tumehangaika nazo kwa miaka 15 sasa na si leo tu na unakutana na upuuzi tu wa hawa watu...hatujafika hatua hii kwa kukurupuka,ni mpango mkakati wa harakati...na zaidi kampeni za kususia bidhaa za makampuni ni style halali kwenye harakati za hiphop duniani kote,kwa mfano hata Jay z aliwahi kuendesha kampeni ya kususia chrystal champagne baada ya kampuni ya huo mvinyo kutoa kauli tata iliyoonekana ni ya udhalilishaji dhidi ya wasanii wa hiphop wa US,na hakika ilifanikiwa kwa watu kuisusia kwa kiasi kikubwa...!!!about an hour ago · 3
 
Mimi sio mshabiki wa upande wowote kati ya Sugu na Ruge, lakini kama itatokea watu au kikundi chochote kikafanya tukio la kuvunja line ya mtandao fulani mbele ya umati mkubwa wa watu ni issue kubwa kwa kampuni husika na kama kweli liko kibiashara lita-assess nini chanzo na yeyote atakayeingia kwenye link atapunguziwa majukumu, believe me Twisa hatakuwa safe kama vinega watafanya hii kitu.
Ushauri ni kwamba as far as marketing strategies are concerned, the public/social coy needs to play it under safe grounds, which leaves it with undoubted.

Stephen Achimpota:VINEGA haina haja ya kugombana na hao wengine(makampuni),kwanza kwa hili blauz fm watapata cha kuongea sana,tuache issue hyo,naamini huu ni mwanzo,hao wadhamini wakiona tu kazi zetu nzuri zinavyokubalika na mashabiki we2 na wakifahamu tunacholilia watatubembeleza wenyewe watudhamini,tudili na kirusi kikuu hyo blaus fm kwanza mbona wadhamini hawatabiriki,ukiwa haufanyi poa hawatataka kutupa fedha zao‎

Joseph Mbilinyi:@achimpota...poa lakini ni muhimu kudhibiti virus waliomo kwenye haya makampuni ili kutibu ugonjwa kabisa...clouds hawana lolote la kusema kwani hawasikilizwi na watu anymore..na tunachofanya hapa ni kuwakatia kabisa mirija ya unyonyaji kwani bila kupewa nguvu ya bajeti kishkaji na airtel hawana ubavu wa kukomaa na sisi kwa kutu-counter na show za mikoani...makampuni watuache sisi na wao tuone nani atafunika!50 minutes ago · 2
 
Joseph Mbilinyi: @Fol...hawa walifika mbali kaka,walijitengenezea like a cartel of partners in crime...kwamba hata ukiwa tayari kuwakatia hiyo percent bado watakuzungusha na sana sana wao ndo watapeleka idea yako kwa clouds fm na wataifanya mbele ya macho yako...ITS SO PATHETIC!!!about an hour ago · 1
JF imeshiriki na inashiriki kwenye mapinduzi ya kisiasa na uchumi,kwa taarifa yao wenye uchungu na sanaa hii humu tumeamua kuwapigania wasanii ili wafaidi jasho lao kihalali na ieleweke Ruge ni sehemu ya tatizo tu.
 
Watanzania tunaogopa sana mabadiliko,mi nilijua ni kwenye siasa pekee..waoga waoga waoga!
Mabadiliko hayaji uku watu wanacheka jamani,maamuzi magumu yanaitajika sometime..tuache kuishi kwa mazoea,yale mambo ya kuacha vitu viende tu kama vile aina jinsi,eti kisa ukikomaa sana unajichoresha utaonekana nuksi.

Kuna siku mtamwelewa tu Sugu..
Woga unaanzia kwako kwa kujiita matumbo wakati si jina lako
 
JF imeshiriki na inashiriki kwenye mapinduzi ya kisiasa na uchumi,kwa taarifa yao wenye uchungu na sanaa hii humu tumeamua kuwapigania wasanii ili wafaidi jasho lao kihalali na ieleweke Ruge ni sehemu ya tatizo tu.
Mbilinyi ana RIGHT target lakini anafuata wrong process to archive RIGHT target. Unajuwa in the process of solving one problem usisababishe mengine
 
Back
Top Bottom