JOSEPH MBILINYI aka SUGU aka KINEGA ATANGAZA VITA NA AIRTEL...

only83

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
5,343
2,525
Jamaa kasema na hapa namnukuu "...boycott CLOUDS FM...boycott AIRTEL na huduma zao zote kama AIRTEL-MONEY kwa sababu watumishi wake kama Twisa wanashirikiana kwa hila na wanyonyaji hawa wa wasanii...mfano ni kitendo cha Twisa kuwasapoti Clouds kwa fedha za AIRTEL na katika mazingira ya 'TATA' bajeti ya kuzunguka mikoani na wasanii ili kuwaharibia VINEGA wa ANTI-VIRUS tour yao ya kitaifa...THIS IS LONG WAR!!!

Na kinega mwingine akaunga mkono hoja ya sugu huyu ni sogy na hapa namnukuu... "Wanatuchokoza wenyewe...dawa yao ni kuwapiga mswaki kila wanapoenda.Line yangu ya Airtel naivunjia jukwaani kwenye show yetu ya Arusha na najua mashabiki wetu watafanya hivyo pia"
 
mmmmmmh hadi wahindi nao ndani ya nyumba ktk mapambano na VINEGA! Haya bana kazi ipo ngoja tusubiri
 
Vinega wameshaanza kuchanganyikiwa. Wanataka kuwafundirha Airtel nani anafaa kudhaminiwa na nani hafai?. Shame on them.
 
Wataingia bifu na kila mtu,tigo,voda na zantel nao si wanadhamini vipindi vya clouds basi wavunje pia line hzo.Sasa sijui watatumia mtandao gan???? hence proved Vinega=Vilaza.yoo
 
Jamaa kasema na hapa namnukuu "...boycott CLOUDS FM...boycott AIRTEL na huduma zao zote kama AIRTEL-MONEY kwa sababu watumishi wake kama Twisa wanashirikiana kwa hila na wanyonyaji hawa wa wasanii...mfano ni kitendo cha Twisa kuwasapoti Clouds kwa fedha za AIRTEL na katika mazingira ya 'TATA' bajeti ya kuzunguka mikoani na wasanii ili kuwaharibia VINEGA wa ANTI-VIRUS tour yao ya kitaifa...THIS IS LONG WAR!!!


Na kinega mwingine akaunga mkono hoja ya sugu huyu ni sogy na hapa namnukuu...

"Wanatuchokoza wenyewe...dawa yao ni kuwapiga mswaki kila wanapoenda.Line yangu ya Airtel naivunjia jukwaani kwenye show yetu ya Arusha na najua mashabiki wetu watafanya hivyo pia"
mkuu hapo kwenye nyekundu ulikuwa /alikuwa unamainsha/anamainisha wrong au long
?
 
antivirus forever antivirus with no apology....airtel mmemkanyaka nyoka mkali gizani....yaani mnaunga mkono wanyonyaji....mtanukishwa kiwaki na vinega na mtasanda wenyewe bila shuruti....hahahahhahh airtel ma ass
 
Ni ukweli usiofichika kwamba hawa ma afisa masoko wanatoa udhamini kwa watu ambao waanawapa 10% ya hiyo bajet yao! Ushahid upo na ambao wamekua hawapo tayari kufanya hivyo Proposal zao hutupwa kapuini..
Vinega wana haki ya kusema chochote kile ili mradi tu wasivunje sheria, kinachowafanya waichukie Airtel kwa sasa ni kitendo cha Kelvin Twissa kukaa mezani na Rugay na kupanga kupambana na Vinega kwa kila watakachokifanya kwa kutumia udhamini wa pesa ya Airtel, pesa ambayo wanaipata kama faida kutokana na watanzania kutumia mtamndao wao kwa hiari yao!
Sasa iweje kampuni hiyo ijiunge katika vita ya kuwakandamiza wasanii wanaopigania masalahi yao?
Mzee Kitime alipeleka proposal kataka makampuni mengi tu kwa ajili ya kuomba udhamini wa kuendesha semina ya Haki Miliki wote wakamtosa ili hali alikuwa ana nia njema ya kuwaelimisha wasanii kuhusu haki zao!
Alinyimwa udhamini kwa sababu ilionekana wasanii watafunguka na kuelimika hivyo wanyonyaji ingekuwa kiama chao,
Sasa haya makampini ni baadhi tu ya makampuni ambayo yanashindwa kurudisha fidia yao kwa jamii kwa kuweza kuwadhamini katika shuguli zao mbali mbali ambao hawaitaji udhamini wa mil 100, ila wako radhi kudhamini kuwaleta watu toka nje ya nchi na kuwalipa mil 400 mpaka mil 500 hii inakuoingia akilni?
Hao wasanii wanaotoka nje ya nchi wanaisaidia nini hiyo kampuni iliyowadhamini ikiwa wanakuja kwa siku mbili tu wanavuna pesa kibao na kusepa! Sisi tunaotumia bidhaa za hjiyo kampuni tunanyimwa udhamini japo wa milion 20?
Vita ni vita muraaa mwaka huu mpaka kisomeke kwani hao aritel wanafaida gani kwa Vinega?
Kwa kuwa wana haki ya kuchagua watumie mtandao gani wa mawasaliano basi wasilamumiwe, sababu wameshajua anayewasaliti ni nani!!
Big up Vinega na kampini yoyote itaakayojiunga na wanyonyaji katika kutaka kuajribu kupambana nanyi wapotezeeni wote! Kusaga amekiri kwamba Vinega ni wabishi na ni watata, wanamuumiza kichwa, anahjutaji kumiona waziri wa habari, utamaduni na michezo ili aweze tafuta suluhisho la hili suala, sasa we Greater Thinker mpaka poda na **** wa Rugay unaongea nini wakati mweny wafu fm anawaza kupata ufumbuzi wa suala hili
Sisi tunaendela kutupia tu kwenye nyavu zao, wataokota wao, Kusaga waambie wanao wasi disturb peace, ugomvi wameuanza wenyewe mwishowe watakimbilia polisi
Eti wanajiita washika dau, washika dau bila hao wasanii si wangekua ni washika nyau???
 
hawezi kutangaza vita na kila mtu.......... lazima apime platforms zake!! akumbuke kinachosababisha tufike hapa kwenye ufisadi ni pesa and those people have money (moreover, they are indians)

He should pick his fights carefully

Kuna msemo unasema, unaweza kuchagua siku ya kuanzisha vita, lakini huwezi kupanga siku ya kumaliza vita.... HE SHOULD BE CAREFUL
 
hawezi kutangaza vita na kila mtu.......... lazima apime platforms zake!! akumbuke kinachosababisha tufike hapa kwenye ufisadi ni pesa and those people have money (moreover, they are indians)

He should pick his fights carefully

Kuna msemo unasema, unaweza kuchagua siku ya kuanzisha vita, lakini huwezi kupanga siku ya kumaliza vita.... HE SHOULD BE CAREFUL

kama kweri madai ya Vinega yangekuwa ni uongo basi ingekuwa kazi raisi sana kwa Clouds na Mtandao wake..

Ila nakubaliana na wewe kwamba atulie sana Sugu anapofanya maamuzi,sababu anapambana na zaidi ya Cloudsfm..hawa watu hawako tayari kuona kitumbua chao kinaingia mchanga.
 
twissa kufanya hivi sishangai jamaa ni bonge la pimbi na hupenda kushobokea watu ambao anahisi watampa jina mjini nakumbuka alivyokuwa ameanza tigo akitoa msaada ngoma ikitoka gazetini basi lazma ailete skani coco watu washuhudie ila vita hii inaponishangaza kila siku wanaoshiriki ni washamba toka mikoani wajanja wa mji wako mitkasi yao ya kupiga pesa!.......
 
Sasa huyu kinega ataanza kuboa! Yeye anadhaminiwa na washabiki wake wazalendo, hiyo ni ushindi tosha! Ashaskia wapi chadema wakizonga wadhamin wa ccm na malori yao ya kusombea raia? Aaagghhhrrr!
 
[h=6]Carola Kinasha
[/h][h=6]Jamani nimepata ujumbe inbox wa watu wanaosema nashusha heshima yangu kwa kufagilia Antivirus. Kwamba mtu kama mimi sistahili kuwa kwenye kundi la wahuni. Imenisikitisha kwa kuwa mimi mwenyewe nilikaribishwa kwenye harakati za kumkomboa msanii na ndugu yangu John Kitime ambaye alikuwa kwenye muziki wa dansi mimi nikiwa kwenye Afro fusion. Kama Kitime angeamua kubagua sijui kama leo tungekuwa tunazungumza haya. Mimi sijali harakati zinaongozwa na nani bali harakati zitampa faida nani. Kama tukikubali kuendelea kugawanywa ili tutawaliwe kirahisi zaidi hizi harakati hazitufikishi popote. Namsapoti mtu yeyote ambaye anawakilisha[/h]
 
kweliiiii.....we dnt argue with fools(clouds+wadhamini+washika mapembe wote na vibaraka wao) bana
 
kama kweri madai ya Vinega yangekuwa ni uongo basi ingekuwa kazi raisi sana kwa Clouds na Mtandao wake..

Ila nakubaliana na wewe kwamba atulie sana Sugu anapofanya maamuzi,sababu anapambana na zaidi ya Cloudsfm..hawa watu hawako tayari kuona kitumbua chao kinaingia mchanga.
Thanks

Najua ana point za ukweli, lakini ajue kwamba Twisa cant decide by himself, there is a process to approve marketing and sponsorship events. Twisa by the way alishapoteza maana alipokwenda Serengeti na kutoswa na kurudi aritel (which is strange)

Sugu apunguze lugha kali na vita vya sauti kuu, aangalie the other side while continuing fighting virus
 
hawezi kutangaza vita na kila mtu.......... lazima apime platforms zake!! akumbuke kinachosababisha tufike AREFUL

Kweli unachosema ila suala ambalo wanachotakiwa kufanya ni kuwa na strategies za mapambano.Sina shaka na sugu kwani mpaka kaingia kwenye hii vita basi amejipanga na kuna watu wapo nyuma yake.Kuhusu wao kuwa na hela so hawashindwi,hiyo sio hoja...hawana hela hata kidogo.Waliokuwa matrilionea Rais wa Egypt na Libya wapo wapi?. Suala la Twisa likigundulika kwenye kampuni ya Airtel kam ni kweli anajihusisha kwenye ugomvi wa wasanii kwa kutumia influence ya kampuni ni tatizo kubwa sana na hawata mwaacha (Aitel ni company kubwa sana yenye kufuata misingi ya uzalishaji - kimataifa),so hata siku moja body of directors ama mgt hawata kubali kuiingiza kampuni kwenye maswala ambayo yataleta mahusiano mabaya na wateja wao.Je kitendo cha Twisa kuiingiza Airtel kwenye huo ugomvi kuna justification za wateja kuongezeka airtel ? Ama watapoteza wateja ? hata kama ni mmoja.....
 
Back
Top Bottom