MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Huyu ni kamanda wa CHADEMA aliyekuwa yuko kama mmoja wa inteligensia (shushushu) ya CHADEMA katika kufanya MAOVU yaliyokuwa yakiratibiwa na uongozi wa juu ndani ya CHADEMA.
Mungu alimwita na kumuonya kama Ilivyokuwa kwa Paul kwenye maandiko ndani ya BIBLIA.
Kwa mapenzi ya Mungu, ameamua kuona ukweli na kufichua SIASA CHAFU na MABAYA (UJASUSI) ambayo CHADEMA kilikuwa kinayatumia kujitafutia UMAARUFU NA HURUMA kwa wananchi hata mpaka kufikia kuwamwagia tindikali mwananchi huku ikijificha nyuma ya vyombo vya dola vionekane ndivyo vimefanya.
Tutasikia mengi zaidi mahakamani.
Chenye mwanzo kina mwisho.
Mungu alimwita na kumuonya kama Ilivyokuwa kwa Paul kwenye maandiko ndani ya BIBLIA.
Kwa mapenzi ya Mungu, ameamua kuona ukweli na kufichua SIASA CHAFU na MABAYA (UJASUSI) ambayo CHADEMA kilikuwa kinayatumia kujitafutia UMAARUFU NA HURUMA kwa wananchi hata mpaka kufikia kuwamwagia tindikali mwananchi huku ikijificha nyuma ya vyombo vya dola vionekane ndivyo vimefanya.
Tutasikia mengi zaidi mahakamani.
Chenye mwanzo kina mwisho.