Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,119
unaangalia kwa kutumia TV ya chogo wewe!!.. Clouds TV hii hii iwe kama TBC!waambie waboreshe TV yao iwe HD maana imejaa giza kama ilivyo tbccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaangalia kwa kutumia TV ya chogo wewe!!.. Clouds TV hii hii iwe kama TBC!waambie waboreshe TV yao iwe HD maana imejaa giza kama ilivyo tbccm
Kweli kabisa Hassan Ngoma anavuta milioni 9 kwa mwezi...... Kamzidi Kitenge wa Wasafi!Hakuna mtangazaji Tanzania hii asiyetamani kufanya kazi clouds media...mazingira ya kazi na bata la pale hamna mtangazaji asiyetamani woote ndoto zao ni kufanya kazi CMG
Upande wa radio kibongobongo,clouds hawana mpinzani
How?Sasa Naamin kama Jose na Zama wa Walimfrastrate Jasiri Muongoza njia..Josse kamzunguka Jasiri
mkuu una ushahidi???Sasa Naamin kama Jose na Zama wa Walimfrastrate Jasiri Muongoza njia..Josse kamzunguka Jasiri
Kusoma hujui ata picha huoni?mkuu una ushahidi???
Amesikika Mkurugenzi wa Clouds Media Group, ndugu Joseph Kusaga katika kipindi cha Leo Tena ninamnukuu "Clouds watangazaji hawaondoki kwa taarifa tu, Zamaradi atarejea kuanzia wiki ijayo "
------------------------
Kanusho la Zamaradi
View attachment 1281700
Vipi maadam kwema mbona umeongea kwa hisia sanaNimeona mahalo insta idrisa kasema ili upate exclusive Interview na zama kweye zamaradi tv ni lazima uwe na machozi tena yale mepesi yenya makamasi ya chumvichumvi
Nikaanza kuangalia.kweli kabisa kila aliyemfanyia exclusive interview wengi walilia kwa ahisia haswaa hata wanaume. But mc pilipili ni kiboko yaan analia yeye ili mwanamke ambembeleze. Na ana dobolesha kuwa mkewe anamlea kama mtoto mdogo. Yaan hadi kuchanwa nywele kuandaliwa soksi utafkir wanaume wengine hawafanyiwi hivyo.
Uzi wa kitambo huuBado yupo kwani
We jamaa nimesoma vizuri hiyo hela au??macho yangu hayaoni vizuri....unamaanisha laki 6 au9 au million 9 .....!!???Kweli kabisa Hassan Ngoma anavuta milioni 9 kwa mwezi...... Kamzidi Kitenge wa Wasafi!