Joseph Kasheku Musukuma anaposema 'Shahada za Makaratasi' anamaanisha nini?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,342
6,467
Katika kuchangia hoja Bungeni Mbunge Joseph Musukuma amesema kuna 'digrii' za makaratasi na zinasumbua (tazama kwenye video clip hapo chini).

Hivi maana ya 'digrii' ya makaratasi ni ipi hasa? Na kama ameweza kutaja aina hiyo, basi ni wazi kuna aina nyingine moja au zaidi. Je, hiyo/ hizo nyingine zaweza kuwa ni zipi?

 
Hata yeye kuna vitu anavikosa sana vingi tu na huhitaji msaada wa hao wasomi anaofanyia fallacy generalisation kuwa wa makaratasi. Na ukute kuna mda anatamani arusi shuleni ila ndo hivo ukute kichwani empty set.
Ukute anaajiri wahandisi, mafundi gari, wanasheria, business managers nk.
Aseme mfano, wewe koleo, degree yako ni ya karatasi ili iwe na uhalisia, otherwise, ni mpuuzi tu kubeza elimu hata kama ina mapungufu.
In short, pamoja na mali zake lakini ana inferiority complex mbele ya wasomi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati ule Lawrence Masha alipotangaza kufufua Fast Jet, niliona clip moja ikimwonyesha Msukuma akisema:- Kama Masha atanunua ndege nitakunya pale stendi' Sijui kama ni clip ya uongo au ya ukweli lakini kama ni ya ukweli basi usishangae akisema kuna degree za makaratasi.
 
Akili zao zimejaa nta,Mrisho Gambo akiwa DC Korogwe alimdhalilisha mwanasheria wa Halmshauri ya wilaya akimwambia ana digrii ya chupi,ni aina ya viongozi wetu tulionao,Msukuma ameishia darasa la Saba,hayo mambo ya digrii kayatoa wapi?,hivi anujua namna digrii inavyopatikana?
 
Anamaanisha kitu ambacho hana
ndo maana unaambiwa ukitaka kumuua paka mpe jina baya
 
Akili zao zimejaa nta,Mrisho Gambo akiwa DC Korogwe alimdhalilisha mwanasheria wa Halmshauri ya wilaya akimwambia ana digrii ya chupi,ni aina ya viongozi wetu tulionao,Msukuma ameishia darasa la Saba,hayo mambo ya digrii kayatoa wapi?,hivi anujua namna digrii inavyopatikana?
Anatamka tu degree hivi anafahamu kuwa kwa miaka mitatu kila mwaka unazitafuta 120 credits to make 360 credits.
 
Anatamka tu degree hivi anafahamu kuwa kwa miaka mitatu kila mwaka unazitafuta 120 credits to make 360 credits.
Atajulia wapi Huyo, anafanya fallacy generalisation.
Angekuwa sahihi kusema labda, mheshimiwa 'kuku' degree yako /zako ni hazina tija kwa taifa sababu hii au ile.
Sasa mtu hajasoma kila siku ku attack waliosoma,
If he thinks education is expensive, let him try ignorance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akibanwa mbio hospital kupata matibabu then akipona anakuja kutukana degree akajaribu Medicine Doctor Degree ndio atajua degree sio kitu rahis kama anavyobeza
 
Back
Top Bottom