Joseph Kabila apewa mwaka mmoja akabidhi madaraka

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Mazungumzo yaliyokwisha juzi nchini DRC kati ya serikali na wapinzani yametoka na azimio moja la rais Kabila kuandaa uchaguzi kabla ya mwisho wa mwaka ujao 2017.

Maombi yake ya kukaa hadi Dec. 2018 na lile la kuwania kipindi cha tatu yote yamekataliwa. Kabila mwenyewe ameshakubali azimio hilo ambalo linategemewa kusainiwa Ijumaa ijayo.
 
Tena inabidi AU waombe msaada wa ECOWAS kuwashughulikia viongozi ving'ang'anizi.
 
Tena inabidi AU waombe msaada wa ECOWAS kuwashughulikia viongozi ving'ang'anizi.

SADC ipo, na DRC ni member wa SADC, na Askari wa SADC wako DRC kwa mission nyingine ambayo wanaweza kuiswitch na kuwa hiyo unayoisema
 
Mazungumzo yaliyokwisha juzi nchini DRC kati ya serikali na wapinzani yametoka na azimio moja la rais Kabila kuandaa uchaguzi kabla ya mwisho wa mwaka ujao 2017.

Maombi yake ya kukaa hadi Dec. 2018 na lile la kuwania kipindi cha tatu yote yamekataliwa. Kabila mwenyewe ameshakubali azimio hilo ambalo linategemewa kusainiwa Ijumaa ijayo.
Kwani naomba nisaidieni. Viongozi wetu hapa Africa wana matatizo gani hasa? Wakikalia kiti wanapata hisia gain!!!! kwa nini wanakuwa wagumu kuachia madaraka kwa mujibu wa katiba za nchi zao. Inatia uchungu sana
 
Kwani naomba nisaidieni. Viongozi wetu hapa Africa wana matatizo gani hasa? Wakikalia kiti wanapata hisia gain!!!! kwa nini wanakuwa wagumu kuachia madaraka kwa mujibu wa katiba za nchi zao. Inatia uchungu sana
Hapo hapo unakuta wamekaa zaidi ya miaka 20 afu hawataki kungatuka,,,ovyo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom