ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
WanaJF nimepokea taarifa hizi za msiba wa ndugu yetu na mtumishi aliye kuwa na wito kwa vijana Mchungaji joseph Justine.
Mchngaji Justin amefariki tarehe moja mwezi watisa na msiba huu umegusa watu wengi sana hakuna Mwana Casfeta yeyote ambaye hakufahamu mchango wa Mchungaji Justin katika hudama za wanafunzi na wanavyuoni katika kuendeleza michakato ya maadili nakukulia katika wokovu ukiwa kijana.
Safari kaimaliza kavipiga vita vilivyo imara na atimae bwana kamwita,bwana ametwaa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe.
Mungu ailaze maalapema mbinguni amina.
Mchngaji Justin amefariki tarehe moja mwezi watisa na msiba huu umegusa watu wengi sana hakuna Mwana Casfeta yeyote ambaye hakufahamu mchango wa Mchungaji Justin katika hudama za wanafunzi na wanavyuoni katika kuendeleza michakato ya maadili nakukulia katika wokovu ukiwa kijana.
Safari kaimaliza kavipiga vita vilivyo imara na atimae bwana kamwita,bwana ametwaa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe.
Mungu ailaze maalapema mbinguni amina.