DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,883
- 45,230
Angalia Sura Zao Hawajapenda Mamluki Kuvamia Chama Chao..anatoka Mtu upinzani anaingia CCM anakuwa balozi,naibu Waziri,mkuu wa wilaya na Das wao vijana wa ccm wapo wanasugua mabenchi kwenye vijiwe vya kahawa hata bendera za chama hawataki kupandisha wanawaachia Wafungwa.