8 September 2020
Ruaha -Mikumi, Morogoro
Tanzania
PROF JAY ALIVYOPOKEWA KWA SHANGWE NA WANANCHI AKIZINDUA KAMPENI, KAFUNGUKA WASANII KUMTENGA
Mgombea wa ubunge jimbo la Mikumi mkoa wa Morogoro kupitia Chama cha CHADEMA Joseph Haule almaarufu kama Prof. JAY leo amezindua kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020.
Prof. Jay aelezea alivyopigania mahitaji ya kipaumbele katika Maendeleo ya Watu jimboni sehemu za Kidodi, Ruaha na Mikumi mkoani Morogoro
Ruaha -Mikumi, Morogoro
Tanzania
PROF JAY ALIVYOPOKEWA KWA SHANGWE NA WANANCHI AKIZINDUA KAMPENI, KAFUNGUKA WASANII KUMTENGA
Mgombea wa ubunge jimbo la Mikumi mkoa wa Morogoro kupitia Chama cha CHADEMA Joseph Haule almaarufu kama Prof. JAY leo amezindua kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020.
Prof. Jay aelezea alivyopigania mahitaji ya kipaumbele katika Maendeleo ya Watu jimboni sehemu za Kidodi, Ruaha na Mikumi mkoani Morogoro