Kwa utetezi wake na dhamira zake, sidhani kama aliwahi kuwa Mkristo au Kuukiri uislamu.... Kiimani yeye badi ni nyoya lielealo angani, hakuna ajuae litatua mda gani na mahali gani...
Hakuna habari ya kushangaza hapa,..........<br />
Tunaoona mbali tulishalifahamu hili, ila bado natafiti ni shilling ngapi walimpa, na ukitaka kujuwa kama ulikuwa ni mzaha angalia hata hilo jina ambalo alichaguwa eti <b>GADDAFI!</b>
<br />
<br />
Uislamu ni dini iliyojitosheleza aihitaji kumpa mtu pesa ili aje huku tunahitaji mtu thabiti,aliamua kuja yeye mwenyewe na ameondoka yeye mwenyewe,alipokuja ajatuzidishia kitu na alipoamua kuondoka ajatupunguzia chochote,kilichopo anatakiwa aache dhihaka kwenye imani ataharibikiwa jumla mwenyezi mungu adhiakiwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.