Hali ya chuo hiki maarufu kama saut Moro ni mbaya sana kwa kuwa imefikia hatua wanachuo wanashindwa kuhudhuria vipindi kwa hali mbaya ya kifedha inayopelekewa na kukosekana kwa boom chuoni hapo na ikiwa zimebaki takribani wiki mbili watu waanze UE,na chuo ni cha kikatoliki hamna mgomo!