Jordan Rugimbana anastaafu lini?

Eberhard

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
1,120
757
Huyu jamaa kwa sasa ni Mkuu wa Dodoma. Nimekuwa nikimsikia kuanzia nikita primary. Sasa nakaribia miaka 40.

Nimemsoma kwenye vitabu na kumuona Kwenye majiwe ya uzinduzi wa miradi ya mwenge kuanzia nikiwa primary tena madarasa ya chini kabisa(la Kwanza hadi la tatu) . Hivi ni huyu huyu au mwanaye? Kama ni hivyo kwa nini na yeye asistafiiswe kwa maslai ya vijana kama inavyotokea kwa wengine? Amekula mzizi gani huyo?
 
Huyu jamaa kwa sasa ni Mkuu wa Dodoma. Nimekuwa nikimsikia kuanzia nikita primary. Sasa nakaribia miaka 40.

Nimemsoma kwenye vitabu na kumuona Kwenye majiwe ya uzinduzi wa miradi ya mwenge kuanzia nikiwa primary tena madarasa ya chini kabisa(la Kwanza hadi la tatu) . Hivi ni huyu huyu au mwanaye? Kama ni hivyo kwa nini na yeye asistafiiswe kwa maslai ya vijana kama inavyotokea kwa wengine? Amekula mzizi gani huyo?
Huyo Jordan ni kijana mdogo sana, pengine mnalingana kwa umri.
Tatizo ana umbo la kizee.
 
Huyu jamaa kwa sasa ni Mkuu wa Dodoma. Nimekuwa nikimsikia kuanzia nikita primary. Sasa nakaribia miaka 40.

Nimemsoma kwenye vitabu na kumuona Kwenye majiwe ya uzinduzi wa miradi ya mwenge kuanzia nikiwa primary tena madarasa ya chini kabisa(la Kwanza hadi la tatu) . Hivi ni huyu huyu au mwanaye? Kama ni hivyo kwa nini na yeye asistafiiswe kwa maslai ya vijana kama inavyotokea kwa wengine? Amekula mzizi gani huyo?
Wakuu wa wilaya sio watumishi was uma ni wanasiasa, in kairuki's voice
 
Huyu jamaa kwa sasa ni Mkuu wa Dodoma. Nimekuwa nikimsikia kuanzia nikita primary. Sasa nakaribia miaka 40.

Nimemsoma kwenye vitabu na kumuona Kwenye majiwe ya uzinduzi wa miradi ya mwenge kuanzia nikiwa primary tena madarasa ya chini kabisa(la Kwanza hadi la tatu) . Hivi ni huyu huyu au mwanaye? Kama ni hivyo kwa nini na yeye asistafiiswe kwa maslai ya vijana kama inavyotokea kwa wengine? Amekula mzizi gani huyo?
Military kasema hizo hizo.mara ya kwanza nikimpata chuno primary school mtwara mwaka 2000 skies kiongozi wa mwenge akazindua ujenzi wa madarasa mawili.
 
Itakuwa umemchanganya na Baba yake....Kamishna mstaafu. Jordan anaweza kuwa kwenye late 40s au early 50s.
 
Kwa hiyo miaka 40 unayo wewe peke yako!!

Rugimbana hazidi 40yrs
Inawezekana yuko kwenye 40yrs maana nakumbuka mwaka 2000 alikua kiongoz wa mbio za mwenge kitaifa na kipind hicho alikua kijana kabisa
 
Huyu jamaa kwa sasa ni Mkuu wa Dodoma. Nimekuwa nikimsikia kuanzia nikita primary. Sasa nakaribia miaka 40.

Nimemsoma kwenye vitabu na kumuona Kwenye majiwe ya uzinduzi wa miradi ya mwenge kuanzia nikiwa primary tena madarasa ya chini kabisa(la Kwanza hadi la tatu) . Hivi ni huyu huyu au mwanaye? Kama ni hivyo kwa nini na yeye asistafiiswe kwa maslai ya vijana kama inavyotokea kwa wengine? Amekula mzizi gani huyo?
Ni RUGIMBANA huyo ni home boy Wangu na jirani yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom