Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,519
Mtafute Banana Zorro akufanyie mpango maana baba yake mzee Zahir Ally Zorro ndiye mtunzi wa Kabwe Makanika na Unyama wa Mafia
Mtafute Banana Zorro akufanyie mpango maana baba yake mzee Zahir Ally Zorro ndiye mtunzi wa Kabwe Makanika na Unyama wa Mafia
Lakini Hassan, hapana; umechanganya. Hawa jamaa wanaweza kuwa ngoma droo. Unakumbuka kile kitabu cha Msiba kilichkuwa kinaongelea wizi wa almasi Mwadui, halafu alikuwepo pale shushushu watu wakiwa wanajua kuwa ni kicha amevaa malapulapu, anaokota makopo na kula mabaki yaliyotupwa kwenye majalala ya taka, analla nje kwenye mitalo halafu muda wote anakuwa anaongea maneno "saa za afrika", kumbe alikuwa anamaanisha "South Afrika"? Uliwahi kukisoma hicho kitabu? Partly huwa nakifananisha na picha moja ya James Bond 007 inaitwa DIAMONDS ARE FOPREVER!
Aristablus Elvis MusibaMtunzi wa Vitabu hivyo (vinavyomhusu Willy Gamba) anaitwa, ARISTABLUS ELVIS MUSIBA
Huyo Elvis Musiba nadhani ni baba yake mzazi na Aristablus, mwenye kuwafahamu vizuri watu hawa naomba atujuze tafzali.
Naomba uniuzie hiyo episode ya 24 naitafuta sana kaka. 0759177102/ musamsangu@yahoo.co.uk au mjanjanaelewax2zaidi@gmail.com , tafadhali kaka tuwasiliane kwa hilo.
wili gambaUlikuwa unavutiwa zaidi na yupi kati ya wakali hao?
Mtoto wa Mtobwe Neema bado anauza vitabu hivyo. Andika Neema Mtobwe FBJoram Kiango malaika wa Shetani..lakini wote kwa ujumla Riwaya zao zilikuwa nzuri sana .
Hivi mbona sasa hazipatikani?anayejua zunzuzwa waoi tafadhari tuwasiliane
Zawadi ya ushindi mtunzi alikuwa nani nimesahau?