TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Uko sahihi mkuu.Aliyeongelewa ni Mnyika
Aliyekanusha ni Makeni
Anayetaka kufungua kesi ni Jopo la majaji wa chadema.
Ukiunganisha Dot utaelewa ni kweli Mnyika hamtaki lowassa
Kama anayetuhumiwa ni Mnyika, anayetakiwa kukanusha ni mnyika
Kama tuhuma zimetolewa kupitia social networks, kanusho halipaswi kutolewa kupitia social networks tena, physical appearance ya mtuhumiwa akikanusha ndiyo njia pekee ya kuondoa utata