MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 707
Waheshimiwa,
Asalaam aleykum wa rahmatullah taalah wabarakatuh!
Nikiwa kama ICT entrepreneur, nimeona kwmaba kuna opportunities nyingi za web development na content management kwa kutumia Joomla 1.5, ambayo ni Content Management System.
Joomla 1.5 ni system nzuri sana, ambayo hata Moderators wa Jambo Forums wanaitumia ku-manage hii site.
Kama kuna mtu ambaye yuko Tanzania, au hata nje ya Tanzania, ambaye yuko interested kufanya kazi za web development na content management kwa kutumia Joomla, awasiliane nami kwa PM, anipe contact zake, nitawasiliana naye.
Hapa nilipo nina two major contracts, lakini sina watu wa kufanya nao kazi.
Wabillah Tawfiq,
./Mwana wa Haki
Asalaam aleykum wa rahmatullah taalah wabarakatuh!
Nikiwa kama ICT entrepreneur, nimeona kwmaba kuna opportunities nyingi za web development na content management kwa kutumia Joomla 1.5, ambayo ni Content Management System.
Joomla 1.5 ni system nzuri sana, ambayo hata Moderators wa Jambo Forums wanaitumia ku-manage hii site.
Kama kuna mtu ambaye yuko Tanzania, au hata nje ya Tanzania, ambaye yuko interested kufanya kazi za web development na content management kwa kutumia Joomla, awasiliane nami kwa PM, anipe contact zake, nitawasiliana naye.
Hapa nilipo nina two major contracts, lakini sina watu wa kufanya nao kazi.
Wabillah Tawfiq,
./Mwana wa Haki