mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,744
Wengi wa wapenda vipindi vya Tv na Redio hususani Burudani jina hili sio geni, Baada ya Kutoka Times fm alisajiliwa Wasafi Media na baadae kutimkia E FM/E-TV.
Jamaa hajafanya sana program za redioni kama upande wa TV. Yes, wengi walimfahamu kwenye "Now you Know" kupitia YouTube account yake.
Alipofika EFM alifanya kipindi cha HOMA akichukua nafasi ya Meneja Sebbo. Sasa Jonijo anakuja na Kipindi kinaitwa GEREZANI. Hii imejidhihirisha kwenye teaser aliyoweka kwenye ukurasa wake wa Instagram, akizungumza na msanii HEMED PHD, huku kavalia nguo zinazofanana na za Mfungwa ambae yuko chini ya Ulinzi ila katembelewa na mgeni, Good Idea!
Idea ya mazingira haiendani na kipindi chake cha awali THE BAR TENDER. Je, uhalisia wa maswali utaendana na kipindi hiko cha awali? Teaser iko mtandaoni tayari siku na saa.
Lets wait and see, Creativity is the Key. Kama ulimmisi kwa vipindi vya namna hio sasa anarejea.
Tchaooooo. its Mayowela
Jamaa hajafanya sana program za redioni kama upande wa TV. Yes, wengi walimfahamu kwenye "Now you Know" kupitia YouTube account yake.
Alipofika EFM alifanya kipindi cha HOMA akichukua nafasi ya Meneja Sebbo. Sasa Jonijo anakuja na Kipindi kinaitwa GEREZANI. Hii imejidhihirisha kwenye teaser aliyoweka kwenye ukurasa wake wa Instagram, akizungumza na msanii HEMED PHD, huku kavalia nguo zinazofanana na za Mfungwa ambae yuko chini ya Ulinzi ila katembelewa na mgeni, Good Idea!
Idea ya mazingira haiendani na kipindi chake cha awali THE BAR TENDER. Je, uhalisia wa maswali utaendana na kipindi hiko cha awali? Teaser iko mtandaoni tayari siku na saa.
Lets wait and see, Creativity is the Key. Kama ulimmisi kwa vipindi vya namna hio sasa anarejea.
Tchaooooo. its Mayowela