BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,164
Nina jokofu aina ya bird line....mwanzo lilikuwa linapiga kazi fresh..
Nikaita fundi wa kwanza akasema tatizo ni power control na gesi imepungua, tukarekebsha ikafanya kazi fresh
Siku 3 tu likazingua linawaka ila haligandishi nikaita fundi akasema yabidi system nzima isafishwe na iwekwe gesi mpya, nikasema poa. Tukasafisha system nzima na likawekwa gesi. Likapiga kazi siku 4 ghafla limkaa kimya. Linawaka lakini haligandisha
Leo ndo nimekaa chini na kufikiria litakuwa linavujisha gesi. Hao mafundi walichofanya ni mbwembwe ila kikubwa ni kuwa waliongeza gesi tuu.
Nahitaji fundi jokofu wa uhakika acheki kama kuna ufa na kama linavujisha pia azibe..
Namba zangu ni 0769011871
Fundi awe maeneo ya Airport mpaka Gongo la mboto
Nikaita fundi wa kwanza akasema tatizo ni power control na gesi imepungua, tukarekebsha ikafanya kazi fresh
Siku 3 tu likazingua linawaka ila haligandishi nikaita fundi akasema yabidi system nzima isafishwe na iwekwe gesi mpya, nikasema poa. Tukasafisha system nzima na likawekwa gesi. Likapiga kazi siku 4 ghafla limkaa kimya. Linawaka lakini haligandisha
Leo ndo nimekaa chini na kufikiria litakuwa linavujisha gesi. Hao mafundi walichofanya ni mbwembwe ila kikubwa ni kuwa waliongeza gesi tuu.
Nahitaji fundi jokofu wa uhakika acheki kama kuna ufa na kama linavujisha pia azibe..
Namba zangu ni 0769011871
Fundi awe maeneo ya Airport mpaka Gongo la mboto