BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,485
- 5,672
Huyu dada muimbaji wa muziki wa mwambao kweli ni ameumbika haswaaa. Sijui anafanya kazi na kundi gani kwa sasa
Rangi yake ni ile ya watu wa mashariki ya mbali au wanaita rangi ya mtume. Nywele za kuzaliwa sio za wigi, si mrefu wala mfupi yupo wastani. Kwa kweli mimi namkubali sana.
Sijui kama ni Single or married zaidi tu ni kwamba walizaa mtoto mmoja na mzee yusuph wakaachana.
Wana Jamiiforums mwenye mawasiliano yake ani-pm tafadhali, namzimikia sana, sijui kama mke wa mtu au vipi, au kama yupo humu ani-pm.
Kupenda si ajabu. Mwenye picha yake atuwekee.
Rangi yake ni ile ya watu wa mashariki ya mbali au wanaita rangi ya mtume. Nywele za kuzaliwa sio za wigi, si mrefu wala mfupi yupo wastani. Kwa kweli mimi namkubali sana.
Sijui kama ni Single or married zaidi tu ni kwamba walizaa mtoto mmoja na mzee yusuph wakaachana.
Wana Jamiiforums mwenye mawasiliano yake ani-pm tafadhali, namzimikia sana, sijui kama mke wa mtu au vipi, au kama yupo humu ani-pm.
Kupenda si ajabu. Mwenye picha yake atuwekee.