Ekitarangwe
Member
- May 29, 2008
- 13
- 0
Wana JF Naomba ushauli nimemfumania mkewangu analiwa uloda na mchungaji wa kanisa moja hapa dar mchungaji akaniomba nisimzuru ila twende wote kwa mkewake namimi nikale ngozi kwa mkewe,kufika mkewe kagoma akasema unakuja kunigongamimi umekuta mimi ndie nimempanda mkeo? kamalizane wenyewe huko mimi msinihusishe sasa nifumbe macho nimgonge huyu mchungaji? maana yukotayali kwa lolote lile nitakalo kwake ilimladi nisitangazie watu wakajua mamboyake.