Jokes/utani

Ekitarangwe

Member
May 29, 2008
13
0
Wana JF Naomba ushauli nimemfumania mkewangu analiwa uloda na mchungaji wa kanisa moja hapa dar mchungaji akaniomba nisimzuru ila twende wote kwa mkewake namimi nikale ngozi kwa mkewe,kufika mkewe kagoma akasema unakuja kunigongamimi umekuta mimi ndie nimempanda mkeo? kamalizane wenyewe huko mimi msinihusishe sasa nifumbe macho nimgonge huyu mchungaji? maana yukotayali kwa lolote lile nitakalo kwake ilimladi nisitangazie watu wakajua mamboyake.
 
Mwana kwanza una akili gani kwenda kwa mkewe? Kweli ulitaka ukamle uroda mke wake? Hapo tu inaonyesha una matatizo yako. Kama mchungaji ndiyo tabia yake una uhakika gani na afya ya mkewe? Na hata kama mkewe ni salama uumle uroda ili iweje? Mtu waku shugulika nae ni mkeo maana mkeo haja bakwa kakubali mwenyewe kumegwa haja lazimishwa. Nakushauri nenda na mkeo kama ni kwa mshenga au wazazi au yoyote yule mnaye muamini na swala hili mliongelee mjue muende wapi baada ya hapa. Pili, kama utaamua kubaki na mkeo, na mimi nasema kila mtu anastahili apewe nafasi ya pili, nakushauri mkapime. Mpime magonjwa yote ya zinaa pamoja na gonjwa kuu. Mwishoni nataka kusema lazima kuna sababu mkeo kaamua kwenda nje nakushauri uongee nae ujue hiyo sababu ni ipi ili mtatue kosa lisiji rudie. Mwishoni kabisa nataka kusema hili swala linataka utaratibu na busara. Nawatakia kila laheri.
 
Duu! suali nyeti. Vyeo vina mazala yake sometime. Jamaa alifikili achunge kila mtu. Hata mabibi wa wafuasi wake ale tuu. Hili jamaa lina tamaa sana, kama halitosheki na mke wake ni bola aoe mke wa pili. Lafiki yangu moja hapa anasema jamaa aludi kwa mchungaji ajilipe uloda, lakini sio ushauli mzuli. Ee itakua anaubili nini? sauti ikiwa kama Joyce watu watakimbia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom