Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
I got this as forwarded sms from ma friend!
Kutokana na ukweli kwamba vijana wengi hawapendi kusoma bible, umefika wakati bible ingetakiwa iandikwe upya kwa kiswahili cha kisasa zaidi (watumiacho vijana) ili iliwavutie vijana wengi zaidi waisome na wapate wokovu. Mfano bible ingekuwa na verse kama hizi;
Yesu akawaibukia masela wake na akawapa laivu, Oya washikaji mi ndo naenda kwa dingi, ila ndo hivo msikandamizane, msipige fix, msimind mademu wa washikaji zenu, wapeni shavu madingi na mamaza zenu...au sio machizi? akamaliza huyooooo!...akasepa! Toa maoni yako
Kutokana na ukweli kwamba vijana wengi hawapendi kusoma bible, umefika wakati bible ingetakiwa iandikwe upya kwa kiswahili cha kisasa zaidi (watumiacho vijana) ili iliwavutie vijana wengi zaidi waisome na wapate wokovu. Mfano bible ingekuwa na verse kama hizi;
Yesu akawaibukia masela wake na akawapa laivu, Oya washikaji mi ndo naenda kwa dingi, ila ndo hivo msikandamizane, msipige fix, msimind mademu wa washikaji zenu, wapeni shavu madingi na mamaza zenu...au sio machizi? akamaliza huyooooo!...akasepa! Toa maoni yako
Last edited: