Jokate Mwegelo: CCM haina mwenyewe

Watanzania wengi no kama mapopo!, ...hatueleweki. Kama Angekatwa au kulitwa SoSopi na Msigwa kuangukia pua humu pia kusingekalika. Wangesema amechaguliwa MTU w Kaskazini! na kwamba inamaana hakuna MTU wa asili wa eneo hilo kuwa mwenyekiti wa kanda hiyo mpaka alrtwe mtu wa kaskazini? ( hata kama Sisopi ni mzaliwa wa kanda hiyo)

Kiongozi bora ni yule anayekea influence yake kwa MTU anayeona atakiunganisha na kukipa ushindi zaidi chama na sio tu kwa kuwa anashabikiwa na watu!
Mhadzabe
Umetazama Kwa jicho pevu,hili ndilo linaloishi zaidi. Ifahamike kuwa chama kinajengwa katika misingi ya kitaifa na hivyo lazima kijengwe sura hiyo.

Wanaolalamika wamekosa ajenda ya kutaka kuonesha kuwa chama Ni cha Kaskazini.

Nitampongeza Mh Mbowe Kwa kupigania kujenga utaifa katika chama. Hekima na busara hujenga misingi ya kudumu katika umoja. Utaifa Kwanza mengine badae
 
Hivi Chadema kirefu chake ni Chama cha Democrasia na Maendeleo?

Sasa mbona hawana democrasia yoyote halaf wanahubiri nchi haina Democrasia?

Chadema mlitakiwa ndio muwe mfano wa Demokrasia mnayoipigania iwepo nchi hii.

Kwanza kama ni kweli mna Demokrasia ilitakiwa Mbowe awe amestaafu uenyekiti wa chama.
 
Hivi Chadema kirefu chake ni Chama cha Democrasia na Maendeleo?

Sasa mbona hawana democrasia yoyote halaf wanahubiri nchi haina Democrasia?

Chadema mlitakiwa ndio muwe mfano wa Demokrasia mnayoipigania iwepo nchi hii.

Kwanza kama ni kweli mna Demokrasia ilitakiwa Mbowe awe amestaafu uenyekiti wa chama.
Huu ni mwaka wa 13 akiwa mwenyekiti, utadhani CHADEMA haina vijana wenye maono mapya, fikra mpya na nguvu mpya.

CCM ambao wanasemwa sana na CHADEMA wamejiwekea utaratibu wa miaka kumi tu kwa kila mwenyekiti, hata awe ana akili kuliko Albert Enstein, wakati wake wa kuondoka ukifika lazima apishe wengine.

Hao walishabadili gia angani, wamegeuka kuwa wapigaji tu.
 
View attachment 449569
Jokate Mwegelo

Jana,22/12/2016 katika uchaguzi wa CHADEMA kanda ya Nyasa umenifanya niyakumbuke maneno ya mwanamitindo na Mjasiriamali Nguli Afrika, Jokate Mwegelo alipoulizwa na moja ya vyombo vya habari kuwa anakipenda chama gani cha siasa nchini, Naye akajibu bila woga kuwa anakipenda Chama cha Mapinduzi kwasababu HAKINA MWENYEWE. Wakati anayasema hayo kipindi kile sikumwelewa ila Uchaguzi wa Chadema kanda ya Nyasa uliofanyika Jana ndo ulinipa akili za ziada ya kumwelewa Jokate.

Kwanza nianze kwa kumpa pole za dhati kabisa Makamu wangu Mwenyekiti wa bavicha, bw Patrick Ole Sisopi kwa kufanyiwa ukatili ule na Mwenyekiti Mbowe dakika chache kabla ya kupiga kura.Ingawa mimi hili halikunishangaza kutokana na uhodari wa Mbowe wa kubadilisha Gia angani kwa kubadili(binafsi) maamuzi ya Halmashauri kuu ya chama chetu;

· Ikumbukwe Agosti,2015 Mbowe alibadili maamuzi ya Halmashauri kuu ya chama ya februari na juni ya kumpitisha Dr. wilbrod Slaa kuwa mgombea wa Chama chetu pia Mbowe alifuta taratibu za uchaguzi wa ndani wa kumpata mgombea urais wa CHADEMA, Mbowe alituleta Lowassa toka CCM akasema tu kuwa kabadili gia angani.
View attachment 449570
Mwenyekiti Mbowe

· Mwaka 2013, Mbowe alibadili katiba ya Chama chetu na kuweka kifungu cha mwanachama kutokwenda kutafuta haki Mahakamani kwa maamuzi yoyote yale ya Vikao vya chama.

· Mwaka 2013, Mbowe alimtimua ZItto uanachama kwasababu alijipanga kugombea uenyekiti ndani ya Chama chetu, alitimua pia watu wote waliokuwa wanamuunga mkono Zito kuchuana na Mbowe kwenye uenyekiti

· Mwaka 2009, Mbowe alitumia baraza la wazee kumuengua Zitto katika kinyang’anyiro cha uenyekiti wa chama chetu,,akabaki peke yake

· Mwaka 2008, Mbowe alisimamishwa uongozi(Umakam mwenyekiti Bara) Chacha Wangwe, huku uanachama wake ukisubir kujadiliwa. Baada ya Marehem Chacha Wangwe Kuitisha Vyombo vya habari ili kutolea ufafanuzi wa hoja alizoziita za kizushi za usimamishwaji wa uongozi wake na kujadiliwa kwa uanachama wake pia aliahidi kuendelea kudai haki yake mpaka kieleweke ndani ya chama pamoja na kuhakikisha chama chetu kinasimama imara, NADHANI KILA MTU ANAJUA KILICHOMPATA CHACHA WANGWE. Ikimbukwe Marehemu Chacha Wangwe alitangaza kugombea Uenyekiti wa Chadema Taifa katika uchaguzi wa mwaka 2009.
View attachment 449571
Patrick Ole Sisopi

· Ikumbukwe pia mwaka 2004, Mbowe alikabidhiwa Chama na Marehemu Bob Makani ambaye aliyemuoa dada yake wa Muasisi wa Chama chetu ambaye pia ni Mkwe wa Mwenyekiti wetu wa sasa, Mbowe. Kabla ya Makani Chama chetu kiliongozwa na Edwin Mtei

Kwahiyo alichokifanya Jana Mbowe kwa kumuondoa Patrick Ole halikuwa jambo geni kufanywa na Mbowe.

Binafsi namuomba Mbowe kama anapinia Demokrasia nchini basi tuione anaitekeleza ndani ya chama chetu. Haipendezi ccm wajibu hoja zetu nzito za kudai demokrasia kwa ule msemo maarufu wa ‘Nyani haoni kundule’

Said Amiri Said- Mwanachana Chadema
Nachelea kusema kuwa siamini kama wewe ni Mwana Chadema...hawa watu wanapendana sana hawana utamaduni wa kuanika mambo yao!
 
View attachment 449569
Jokate Mwegelo

Jana,22/12/2016 katika uchaguzi wa CHADEMA kanda ya Nyasa umenifanya niyakumbuke maneno ya mwanamitindo na Mjasiriamali Nguli Afrika, Jokate Mwegelo alipoulizwa na moja ya vyombo vya habari kuwa anakipenda chama gani cha siasa nchini, Naye akajibu bila woga kuwa anakipenda Chama cha Mapinduzi kwasababu HAKINA MWENYEWE. Wakati anayasema hayo kipindi kile sikumwelewa ila Uchaguzi wa Chadema kanda ya Nyasa uliofanyika Jana ndo ulinipa akili za ziada ya kumwelewa Jokate.

Kwanza nianze kwa kumpa pole za dhati kabisa Makamu wangu Mwenyekiti wa bavicha, bw Patrick Ole Sisopi kwa kufanyiwa ukatili ule na Mwenyekiti Mbowe dakika chache kabla ya kupiga kura.Ingawa mimi hili halikunishangaza kutokana na uhodari wa Mbowe wa kubadilisha Gia angani kwa kubadili(binafsi) maamuzi ya Halmashauri kuu ya chama chetu;

· Ikumbukwe Agosti,2015 Mbowe alibadili maamuzi ya Halmashauri kuu ya chama ya februari na juni ya kumpitisha Dr. wilbrod Slaa kuwa mgombea wa Chama chetu pia Mbowe alifuta taratibu za uchaguzi wa ndani wa kumpata mgombea urais wa CHADEMA, Mbowe alituleta Lowassa toka CCM akasema tu kuwa kabadili gia angani.
View attachment 449570
Mwenyekiti Mbowe

· Mwaka 2013, Mbowe alibadili katiba ya Chama chetu na kuweka kifungu cha mwanachama kutokwenda kutafuta haki Mahakamani kwa maamuzi yoyote yale ya Vikao vya chama.

· Mwaka 2013, Mbowe alimtimua ZItto uanachama kwasababu alijipanga kugombea uenyekiti ndani ya Chama chetu, alitimua pia watu wote waliokuwa wanamuunga mkono Zito kuchuana na Mbowe kwenye uenyekiti

· Mwaka 2009, Mbowe alitumia baraza la wazee kumuengua Zitto katika kinyang’anyiro cha uenyekiti wa chama chetu,,akabaki peke yake

· Mwaka 2008, Mbowe alisimamishwa uongozi(Umakam mwenyekiti Bara) Chacha Wangwe, huku uanachama wake ukisubir kujadiliwa. Baada ya Marehem Chacha Wangwe Kuitisha Vyombo vya habari ili kutolea ufafanuzi wa hoja alizoziita za kizushi za usimamishwaji wa uongozi wake na kujadiliwa kwa uanachama wake pia aliahidi kuendelea kudai haki yake mpaka kieleweke ndani ya chama pamoja na kuhakikisha chama chetu kinasimama imara, NADHANI KILA MTU ANAJUA KILICHOMPATA CHACHA WANGWE. Ikimbukwe Marehemu Chacha Wangwe alitangaza kugombea Uenyekiti wa Chadema Taifa katika uchaguzi wa mwaka 2009.
View attachment 449571
Patrick Ole Sisopi

· Ikumbukwe pia mwaka 2004, Mbowe alikabidhiwa Chama na Marehemu Bob Makani ambaye aliyemuoa dada yake wa Muasisi wa Chama chetu ambaye pia ni Mkwe wa Mwenyekiti wetu wa sasa, Mbowe. Kabla ya Makani Chama chetu kiliongozwa na Edwin Mtei

Kwahiyo alichokifanya Jana Mbowe kwa kumuondoa Patrick Ole halikuwa jambo geni kufanywa na Mbowe.

Binafsi namuomba Mbowe kama anapinia Demokrasia nchini basi tuione anaitekeleza ndani ya chama chetu. Haipendezi ccm wajibu hoja zetu nzito za kudai demokrasia kwa ule msemo maarufu wa ‘Nyani haoni kundule’

Said Amiri Said- Mwanachana Chadema
Pole sana ndugu, unakamua maziwa kutoka mbuzi dume
 
kosa lililofanyika ni kuruhusu haya majina mawili yakafika mpka hatua ya mwisho, ilitakiwa wakae mapema tu waelewana kutoa mkanganyiko wa dakika za lala salama kama hizi, mbona mwenyeki taifa huwa anatengeneza njia mapema
 
Hoja yako nini naona unatokwa povu tu, unasema ccm haina mwenyewe Uko serious kwel? au njaa inakusumbua, mbona lowasa alikatwa jina lake na hao waliokutuma uwasifie kwa ujira wa b7 .acha kujitekenya gamba wewe
Kwa akili hizi, kweli Mbowe kazi yake ni ndogo sana. Kwenye uozo lazima pasemwe, iweje ccm au Chadema.
Tukusaidia nini sasa Kama unajua Mbowe ni tatizo mwambie ccm wamweke ndani Kama mlivyomweka Lema Leo mwezi na ushee na hamtaki kumwachia,Mbowe tu a
 
Hapa utamponza tu mdada wa watu, maana jamaa wa Bavicha walivyojaaliwa kutukana.
 
Huu ni mwaka wa 13 akiwa mwenyekiti, utadhani CHADEMA haina vijana wenye maono mapya, fikra mpya na nguvu mpya.

CCM ambao wanasemwa sana na CHADEMA wamejiwekea utaratibu wa miaka kumi tu kwa kila mwenyekiti, hata awe ana akili kuliko Albert Enstein, wakati wake wa kuondoka ukifika lazima apishe wengine.

Hao walishabadili gia angani, wamegeuka kuwa wapigaji tu.
Hivi Jpm akibadili katiba aendelee kugombea Urais kama Mbowe alivyofanya hawa CHADEMA watapinga na kulalamika kweli?
 
Hoja yako nini naona unatokwa povu tu, unasema ccm haina mwenyewe Uko serious kwel? au njaa inakusumbua, mbona lowasa alikatwa jina lake na hao waliokutuma uwasifie kwa ujira wa b7 .acha kujitekenya gamba wewe
Kwa hiyo katika waliokatwa umemuona Lowassa tu? Hivi kawapa nini huyu mtu huko chadema?

Yani hujamwona Member, Makamba, Sitta nk. Wote hao walikatwa kupitia ccm. Haya niambie Lowassa walishindana na nani?
 
Hivi Jpm akibadili katiba aendelee kugombea Urais kama Mbowe alivyofanya hawa CHADEMA watapinga na kulalamika kweli?
Hawana jeuri ya kulalamika. CCM na madhambi yake yote bado ni chama chenye sura ya kitaifa, ambacho kinasimamia mahitaji ya wengi.

Chama cha kuinyooshea kidole CCM inabidi kiwe na misingi imara zaidi, kiwe na utaratibu wa kimaadili wa uendeshaji, wenye kueleweka kwa kila mtu.
 
Hoja yako nini naona unatokwa povu tu, unasema ccm haina mwenyewe Uko serious kwel? au njaa inakusumbua, mbona lowasa alikatwa jina lake na hao waliokutuma uwasifie kwa ujira wa b7 .acha kujitekenya gamba wewe
CCM haina mwenyewe, Lowassa alikatwa kwa sababu yeye alitaka kuwa juu ya CCM na wengine waliona hawathaminiwi kisa huyu mmwaga Rushwa
 
Back
Top Bottom