Jokate amuandikia Alikiba Barua kutoka kwenye sakafu ya moyo wake

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,321
11,315
Super business woman, Jokate Mwegelo amemuandikia AliKiba ujumbe mzuri ambao amedai umetoka kwenye sakafu ya moyo wake.

Mwanamitindo huyo ambaye yupo karibu zaidi na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ amemsifia msanii huyo huku akiichambua show yake aliyoifanya usiku wa kuamkia Jumapili katika tamasha la Fiesta Dar es salaam.

Kupitia Instagram, Jokate ameandika:

Komando Kipensi @officialalikiba kwanza thank you for trusting me and @noelgiotz to style you for Fiesta- tulielewa how important this day is to you and I’m glad we made it . It was fun creating this iconic look, you made it easy though I mean your body is just perfect and the way you carry yourself with so much class and honor you just gave this outfit the life and sophistication it needed.

Style yako ya mavazi ni ya kipekee, hugezi mtu unatengeneza yako kama unavyofanya na mziki wako, ni halisi. Sasa mimi napenda kuongea nikiguswa, sio kama AK ila baada ya kuona ulichofanya jana kwenye stage ya fiesta ( umeimba live na band kwenye umati mkubwa vile kwa ustadi mkubwa kabisa mpaka watu wakashtuka maana you were simply perfect )

naomba kusema tu wewe hushindani na yoyote hapa Tanzania, kuanzia ladha yako ya mziki unaotengeneza mpaka sauti yako – tena huko kwenye sauti naomba nisiongee maana sitaki upasuke bichwa lako lol ila kuna kitu cha kipekee kwenye sauti yako, you are “The Voice”.

Kila siku unakuwa bora zaidi yaani labda nikufananishe na Beyonce kimziki- usiniue lakini . Ukitaka you can dance, you can sing tena live sauti cleeeear haina mikwaruzo, you can rap, unaeeza igiza uchizi yaani you are just perfect kama mwanamuziki.

Kama hujui leo ujue. Nakuombea siku mmoja dunia nzima iweze kufurahia hiki kipaji adhimu kutoka kwako. Unajua kuna tofauti ya kuimba wimbo au kusikiliza wimbo tu kama burudani na kusikiliza kitu kinachokuinua spiritually. Kitu kinagusa roho yako. Nikisikia Aje, Mwana, My Everything, Mali yangu hata kama nina mood mbaya vipi my soul becomes happy yaani naturally. You are a gem na utafika tu.

Huu mwendo wako huu huu ndio poa. Wasikuchanganye. Nikiangalia mfano wa Wizkid yeye anafanya mziki wake, focus yake niyeye na fans wake na ndio maana yuko alipo licha ya kushindanishwa na watu kutwa nzima. Blood fans wa AK najua mko nae tumlazimishe huyu kijana afanye tour nchi nzima pekee yake labda . Haya mambo ni makubwa wallahy. All in all I’m very proud of you na your journey of growth and WTH man start giving me credit on the lyrics I help you with .

Hongera @cloudsfmtz kwa show nzuri na kwa wasanii wote #Kajiandae [HASHTAG]#KingKiba[/HASHTAG] [HASHTAG]#Kidoti[/HASHTAG]

1478498261294.png
 
Kumsifia kimuziki ana ruhusiwa lakini kama ni yeye ndio alimvalisha kile kinguo, kilikuwa ni kibaya jamani. Yaani Mungu anamuona.

*hasa kuna watu utashangaa wanamsifia wanasema alipendeza! Hebu kuweni siriaz
Alimbuni hili vazi tata
1478499534583.png
 
Super business woman, Jokate Mwegelo amemuandikia AliKiba ujumbe mzuri ambao amedai umetoka kwenye sakafu ya moyo wake.

Mwanamitindo huyo ambaye yupo karibu zaidi na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ amemsifia msanii huyo huku akiichambua show yake aliyoifanya usiku wa kuamkia Jumapili katika tamasha la Fiesta Dar es salaam.

Kupitia Instagram, Jokate ameandika:

Komando Kipensi @officialalikiba kwanza thank you for trusting me and @noelgiotz to style you for Fiesta- tulielewa how important this day is to you and I’m glad we made it . It was fun creating this iconic look, you made it easy though I mean your body is just perfect and the way you carry yourself with so much class and honor you just gave this outfit the life and sophistication it needed. Style yako ya mavazi ni ya kipekee, hugezi mtu unatengeneza yako kama unavyofanya na mziki wako, ni halisi. Sasa mimi napenda kuongea nikiguswa, sio kama AK ila baada ya kuona ulichofanya jana kwenye stage ya fiesta ( umeimba live na band kwenye umati mkubwa vile kwa ustadi mkubwa kabisa mpaka watu wakashtuka maana you were simply perfect ) naomba kusema tu wewe hushindani na yoyote hapa Tanzania, kuanzia ladha yako ya mziki unaotengeneza mpaka sauti yako – tena huko kwenye sauti naomba nisiongee maana sitaki upasuke bichwa lako lol ila kuna kitu cha kipekee kwenye sauti yako, you are “The Voice”.

Kila siku unakuwa bora zaidi yaani labda nikufananishe na Beyonce kimziki- usiniue lakini . Ukitaka you can dance, you can sing tena live sauti cleeeear haina mikwaruzo, you can rap, unaeeza igiza uchizi yaani you are just perfect kama mwanamuziki. Kama hujui leo ujue. Nakuombea siku mmoja dunia nzima iweze kufurahia hiki kipaji adhimu kutoka kwako. Unajua kuna tofauti ya kuimba wimbo au kusikiliza wimbo tu kama burudani na kusikiliza kitu kinachokuinua spiritually. Kitu kinagusa roho yako. Nikisikia Aje, Mwana, My Everything, Mali yangu hata kama nina mood mbaya vipi my soul becomes happy yaani naturally. You are a gem na utafika tu.

Huu mwendo wako huu huu ndio poa. Wasikuchanganye. Nikiangalia mfano wa Wizkid yeye anafanya mziki wake, focus yake niyeye na fans wake na ndio maana yuko alipo licha ya kushindanishwa na watu kutwa nzima. Blood fans wa AK najua mko nae tumlazimishe huyu kijana afanye tour nchi nzima pekee yake labda . Haya mambo ni makubwa wallahy. All in all I’m very proud of you na your journey of growth and WTH man start giving me credit on the lyrics I help you with .

Hongera @cloudsfmtz kwa show nzuri na kwa wasanii wote #Kajiandae [HASHTAG]#KingKiba[/HASHTAG] [HASHTAG]#Kidoti[/HASHTAG]

View attachment 430356
Hayo aliyoandika huyo binti ni mawazo ya wengi hasa wale wanaopenda kusikiliza/kucheza. Nyimbo zake nyingi zina mrindiko usiofichika wa kimanyema [hasa vigita na vingoma] ambao kwa hivi sasa hakuna mwanamziki anayemzidi huyu kijana. Nami ninaomba aendelee kama anavyofanya sasa na atafika tuu.
 
Back
Top Bottom