screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Mdharau mwiba......!?Haka ka Diamond kanaonekana kazi yake ni kuchafua warembo tu. Kamwiki kake kamejaa upele na ukurutu, sura kama Chakubanga lakini kila mrembo aliye top tunaambiwa kamemchezea. Kimapato huyu dogo bado hana senti kwa vile anakaa nyumba ya kupanga Sinza Madukani ambako ni makazi ya middle class.
Nikimlinganisha na wasanii wengine wa bongo lavour na hip hip sioni kama ana mkwanja wa maana. Hata Mr Nice alitengeneza fwedha ndefu kuliko nice lakini hakuweza kushobokewa na mademu wakali kama Diamond. Inawezekana labda Diamond kwa ule muonekano wake wa kimbagala mbagala anatumika tu kuwachafua wengine (ukiacha Wema) au basi ni promo ya video music yake