Jokate ajibu mapigo - Nina wangu

Haka ka Diamond kanaonekana kazi yake ni kuchafua warembo tu. Kamwiki kake kamejaa upele na ukurutu, sura kama Chakubanga lakini kila mrembo aliye top tunaambiwa kamemchezea. Kimapato huyu dogo bado hana senti kwa vile anakaa nyumba ya kupanga Sinza Madukani ambako ni makazi ya middle class.

Nikimlinganisha na wasanii wengine wa bongo lavour na hip hip sioni kama ana mkwanja wa maana. Hata Mr Nice alitengeneza fwedha ndefu kuliko nice lakini hakuweza kushobokewa na mademu wakali kama Diamond. Inawezekana labda Diamond kwa ule muonekano wake wa kimbagala mbagala anatumika tu kuwachafua wengine (ukiacha Wema) au basi ni promo ya video music yake
Mdharau mwiba......!?
 
Constantine Magavilla wa Airtel Jamaaa si kaoa lakini wajameni au tumpe pole mwandani wake???

3.jpg
22.jpg
Kwamba huyu ndo kaka wa jokate alotajwa na kimambi kwamba ni shoga alikua kalegea since primary?
 
Kwa mujibu wa FB page yake Jokate amejibu issue yake na Wema ya kumchukulia Diamond na nukuu...

"Mie nimpore Wema Diamond, that is too low for me ingawa Diamond alionyesha interest but I have one and only one in my life, Hate me or love me I am not that low"


attachment.php


NAWAKILISHA

Hili bifu sijui Diamond anatuchezea akili ili auze single yake hii

Nimpende nani?

[JFMP3]http://www.eastafricantube.com/files/ef657cc4f75c0229.mp3[/JFMP3]

Na katika SHOW huko Uingereza Diamond hivi karibuni alisimamisha show ghafla na kuwaomba mashabiki "Mwamtaka naniiiiii JOKATE ay WEMAAA nichagulieni" watu wakalipukaaaaa JOKATEEEE then akaendelea na song lake hili jipya analomponda WEMA

UPDATE - Diamond afunguka kwenye show huko London eti yeye na WEMA bado wako damu damu... Watch his video...



IMG_4198.JPG
Tunaendelea kufukua makaburi
 
Wema 'mcharuko'

- Blue, TID, Jumbe, Chalz Baba, Kanumba, Komba, Diamond VS Jokate 'silent killer' - AY, Mwana Fa, Hermy B (marafiki hawa) Mengi, Ruben, Hasheem, madingi wa kwenye mabenki (crdb, cba), Diamond.... hawa wanafanana, kinachowatofautisha ni namna wanavyoweka ishu zao, Wema anaweka kila kitu adharani.. Jokate ishu zake kmya kmya....ila wote vicheche visivyofaa.
Duh
 
huyu dogo amekuja vibaya sana hawa mabinti watamfilisi mapema atabaki hana kitu badala ya kuinvest pesa yake kwenye vitu vya maana yeye anaanza kuhangaika na vidosho. Nitarudi baadae kidogo
Pole yako
 
Kwa mujibu wa FB page yake Jokate amejibu issue yake na Wema ya kumchukulia Diamond na nukuu...

"Mie nimpore Wema Diamond, that is too low for me ingawa Diamond alionyesha interest but I have one and only one in my life, Hate me or love me I am not that low"


attachment.php


NAWAKILISHA

Hili bifu sijui Diamond anatuchezea akili ili auze single yake hii

Nimpende nani?

[JFMP3]http://www.eastafricantube.com/files/ef657cc4f75c0229.mp3[/JFMP3]

Na katika SHOW huko Uingereza Diamond hivi karibuni alisimamisha show ghafla na kuwaomba mashabiki "Mwamtaka naniiiiii JOKATE ay WEMAAA nichagulieni" watu wakalipukaaaaa JOKATEEEE then akaendelea na song lake hili jipya analomponda WEMA

UPDATE - Diamond afunguka kwenye show huko London eti yeye na WEMA bado wako damu damu... Watch his video...



IMG_4198.JPG
enzi hizo kabla ya Paaap!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haka ka Diamond kanaonekana kazi yake ni kuchafua warembo tu. Kamwiki kake kamejaa upele na ukurutu, sura kama Chakubanga lakini kila mrembo aliye top tunaambiwa kamemchezea. Kimapato huyu dogo bado hana senti kwa vile anakaa nyumba ya kupanga Sinza Madukani ambako ni makazi ya middle class.

Nikimlinganisha na wasanii wengine wa bongo lavour na hip hip sioni kama ana mkwanja wa maana. Hata Mr Nice alitengeneza fwedha ndefu kuliko nice lakini hakuweza kushobokewa na mademu wakali kama Diamond. Inawezekana labda Diamond kwa ule muonekano wake wa kimbagala mbagala anatumika tu kuwachafua wengine (ukiacha Wema) au basi ni promo ya video music yake
Hahahahah aino daimond kwenye file

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona ,mnafukuaa tuu.............sasa sijui kwasasa nani si type ya mwenzake...nisitie neno
 
Kwa mujibu wa FB page yake Jokate amejibu issue yake na Wema ya kumchukulia Diamond na nukuu...

"Mie nimpore Wema Diamond, that is too low for me ingawa Diamond alionyesha interest but I have one and only one in my life, Hate me or love me I am not that low"


attachment.php


NAWAKILISHA

Hili bifu sijui Diamond anatuchezea akili ili auze single yake hii

Nimpende nani?

[JFMP3]http://www.eastafricantube.com/files/ef657cc4f75c0229.mp3[/JFMP3]

Na katika SHOW huko Uingereza Diamond hivi karibuni alisimamisha show ghafla na kuwaomba mashabiki "Mwamtaka naniiiiii JOKATE ay WEMAAA nichagulieni" watu wakalipukaaaaa JOKATEEEE then akaendelea na song lake hili jipya analomponda WEMA

UPDATE - Diamond afunguka kwenye show huko London eti yeye na WEMA bado wako damu damu... Watch his video...



IMG_4198.JPG

Mwehh!!! Mpumzisheni huyu DC jamani.
Makaburi daily...
 
Rudia tena hii comment mzee kaka!!! 😂😂😂😂😂
Haka ka Diamond kanaonekana kazi yake ni kuchafua warembo tu. Kamwiki kake kamejaa upele na ukurutu, sura kama Chakubanga lakini kila mrembo aliye top tunaambiwa kamemchezea. Kimapato huyu dogo bado hana senti kwa vile anakaa nyumba ya kupanga Sinza Madukani ambako ni makazi ya middle class.

Nikimlinganisha na wasanii wengine wa bongo lavour na hip hip sioni kama ana mkwanja wa maana. Hata Mr Nice alitengeneza fwedha ndefu kuliko nice lakini hakuweza kushobokewa na mademu wakali kama Diamond. Inawezekana labda Diamond kwa ule muonekano wake wa kimbagala mbagala anatumika tu kuwachafua wengine (ukiacha Wema) au basi ni promo ya video music yake
 
Back
Top Bottom