Jiongezeni kama mnataka kusoma,cha msingi utafute mawasiliano ya chuo husika uwapigie watakuthibitisha na kukutumia joining instructions kwenye email yako mara moja. Kuthibitisha haya jana tu kuna aliyewasiliana na Kleruu na kutumiwa Joining Instructions yake hapohapo pamoja na kwamba kwenye profile yake ni Pendig akisubiri kuthibitishwa.Hii hali mwenyewe inanikera kweli nikiingia kwenye profile yangu wanasema chuo kitawasiliana na mimi Kwa uthibitisho na naandikiwa pending
Nalifanyia kazi hilo wazo zuriJiongezeni kama mnataka kusoma,cha msingi utafute mawasiliano ya chuo husika uwapigie watakuthibitisha na kukutumia joining instructions kwenye email yako mara moja. Kuthibitisha haya jana tu kuna aliyewasiliana na Kleruu na kutumiwa Joining Instructions yake hapohapo pamoja na kwamba kwenye profile yake ni Pendig akisubiri kuthibitishwa.
Mkuu nimefanya yote hayo ila chuo changu nilichopangiwa shida tupu wanasema kuwa mvimilivu ukipiga tena wanasema subirini mtatafutwa ndani ya siku mbili mpaka Leo wanapiga chenga sijui ata tatizo niniJiongezeni kama mnataka kusoma,cha msingi utafute mawasiliano ya chuo husika uwapigie watakuthibitisha na kukutumia joining instructions kwenye email yako mara moja. Kuthibitisha haya jana tu kuna aliyewasiliana na Kleruu na kutumiwa Joining Instructions yake hapohapo pamoja na kwamba kwenye profile yake ni Pendig akisubiri kuthibitishwa.
wazo zuri sanaJiongezeni kama mnataka kusoma,cha msingi utafute mawasiliano ya chuo husika uwapigie watakuthibitisha na kukutumia joining instructions kwenye email yako mara moja. Kuthibitisha haya jana tu kuna aliyewasiliana na Kleruu na kutumiwa Joining Instructions yake hapohapo pamoja na kwamba kwenye profile yake ni Pendig akisubiri kuthibitishwa.
Komaa nao yawezekana bado wapo kwenye mifumo ya zamani na wakikuambia ndani siku mbili piga simu usikate tamaa.Mkuu nimefanya yote hayo ila chuo changu nilichopangiwa shida tupu wanasema kuwa mvimilivu ukipiga tena wanasema subirini mtatafutwa ndani ya siku mbili mpaka Leo wanapiga chenga sijui ata tatizo nini
Kuna wengine kama sisi chuo hakina web page active,mamba hazipo dah!shida anKomaa nao yawezekana bado wapo kwenye mifumo ya zamani na wakikuambia ndani siku mbili piga simu usikate tamaa.
Vyuo vingi vya serikali vya ualimu website hakunaKuna wengine kama sisi chuo hakina web page active,mamba hazipo dah!shida an