Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Huyu ni Mwandishi wa makala za TAFAKURI JADIDI katika gazeti makini la Raia Mwema, kwa zaidi ya mwezi sasa alikuwa kimya kutokana na kuugua ugonjwa wa Moyo. Mungu amemjalia na amerudi katika libeneke. Honestly ni moja kati ya Journalist makini katika nchi hii.
Bravo Mbwambo
Bravo Mbwambo