Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kwa kawaida mimi huwa sipendi mambo ya ku follow the crowd na ushabiki lakini kwenye hili nimeona bora nimwekee thread yake pekee huyu Mtazania mwezetu. Nadhani kama kuna mtu alitakiwa kuenziwa ili kuwa inspire waTanzania kokote kule walipo duniani ni huyu JOHN STEPHEN AKHWARI
Mwenye contacts zake naziomba kuna jambo nadhani naweza kulifanya not only kwake yeye lakini pia aweze kuwa inspirational kwa wadogo zetu waliopo ndani na nje ya Tanzania. Mwenye contats zake tafadhali naomba anitumie PM.
Pamoja na matatizo tuliyo nayo kama nchi watu kama hawa will always make you feel proud to be Tanzanian
What we need ni more JS AKHWARI's in all walks of our lives
zaidi soma hapa:
[h=2]1968 Olympic marathon[/h]While competing in the marathon in Mexico City, Akhwari fell, badly cutting his knee and dislocating the joint. He continued running, finishing last among the 57 competitors who completed the race (75 had started). The winner of the marathon, Mamo Wolde of Ethiopia, finished in 2:20:26. Akhwari finished in 3:25:27,[SUP][2][/SUP] when there were only a few thousand people left in the stadium, and the sun had set.
As he finally crossed the finish line a cheer came from the small crowd. When interviewed later and asked why he continued running, he said, "My country did not send me 10,000 miles just to start the race; they sent me to finish the race."[SUP][3]
[URL]http://en.wikipedia.org/wiki/John_Stephen_Akhwari[/URL][/SUP]
Mwenye contacts zake naziomba kuna jambo nadhani naweza kulifanya not only kwake yeye lakini pia aweze kuwa inspirational kwa wadogo zetu waliopo ndani na nje ya Tanzania. Mwenye contats zake tafadhali naomba anitumie PM.
Pamoja na matatizo tuliyo nayo kama nchi watu kama hawa will always make you feel proud to be Tanzanian
What we need ni more JS AKHWARI's in all walks of our lives
zaidi soma hapa:
[h=2]1968 Olympic marathon[/h]While competing in the marathon in Mexico City, Akhwari fell, badly cutting his knee and dislocating the joint. He continued running, finishing last among the 57 competitors who completed the race (75 had started). The winner of the marathon, Mamo Wolde of Ethiopia, finished in 2:20:26. Akhwari finished in 3:25:27,[SUP][2][/SUP] when there were only a few thousand people left in the stadium, and the sun had set.
As he finally crossed the finish line a cheer came from the small crowd. When interviewed later and asked why he continued running, he said, "My country did not send me 10,000 miles just to start the race; they sent me to finish the race."[SUP][3]
[URL]http://en.wikipedia.org/wiki/John_Stephen_Akhwari[/URL][/SUP]
Last edited by a moderator: