kieleweke nini????Kamanda Shibuda mpaka kieleweke.
Kamanda Shibuda mpaka kieleweke.
Na wasipomwomba atawafanyaje?
Yaleyale ya sisiem.....bavicha msimamo wao.......cdm taifa msimamo wao....tutafika kweli?????????????????
Shibuda anapakatwa na CCM
Bavicha tunaomba huyu msimtake radhi na kama anataka kuleta ligi tutawapa tactics nzuri za kumuondosha CDM kimya kimya,kuna strategies zimeiva zinasubiri kupakuliwa tu wala msihofu,na kwa ushauri wangu Bavicha msimuombe radhi huyu.msitishike na kipaji chake cha kupayuka
Hata huna huruma kwake huyu ni mzee sasa kumbuka alisema nini juu ya posho,huyu ni uzee unamusumua mwaache aendelea kupata pressure fulani ili aweze kustaafu vizuri siasaKamanda Shibuda mpaka kieleweke.
busara zitumike kwa bavicha ku handle hii issue ili isiwe ni kupakana matope mwisho wa siku aibu iwe ni ya chama maanake yule jamaa ni mtata na wao wakijifanya ni watu wa ligi itakuwa ni kuchafuana
atajinyonga labda