Shabani kisu anamhoji Mzee Malecela kihusu mafanikio na changamoto ndani ya miaka 50 ya Tanganyika/ Tanzania na changamoto za Umeme, Elimu na mambo mengine muda huu fuatilia....
Naona anaongea pumba kwamba Lisu alipinga masada kwa Sababu ni mpinzani tu du Kweli Mzee amezeeka nashauri shabani kisu ajikite katika kuongea na vijana zaidi kuliko wazee
Kuhusu katiba mpya amempa sifa JK kuendesha mchakato vema. Na hata kwenye bunge muswada ulipita bila matatizo yoyote. Anasema hashangai Chadema kupinga,maana ni wapinzani! Huwezi kutegemea wapinzani wakuunge mkono
Anasema anachukia sana ufisadi! Anaona mambo ya ajabu kununua gari Uingereza na kulisafirisha hadi nchini! Anasema mtu huyo sanda yake haitafika hata shilingi elfu kumi na tano[15,000/-],na kaburi la kawaida kama wengine... Kasema anawashangaa sana watu wa aina hii..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.