John Pombe Magufuli ni pandikizi la CHADEMA?

nina amini kabisa kuwa mh pombe ni mmoja wa awatu makini waliopo ndani ya ccm.
la msingi ni walio ndani ya ccm kuwaondoa wote waliochafuka ili mfumo uwe kwa ajili ya kuleta maendeleo ya wananchi
Haya mambo ya umakini, uadilifu, ufisadi sio mambo ya IMANI. Angalia barabara nyingi alizosimamia je ziko vizuri? zinakaa kipindi kilichokusudiwa kabla ya kuanza kuharibika? Je manunuzi ya wizara anayoisimamia hayana mashaka? Vivuko, boti za kasi nakadhalika zina thamani halisi ya fedha iliyolipwa? Je anachukua maamuzi sahihi kwa wakati muafaka yasiyoingizia taifa hasara? (hapa unaweza tafakari samaki wa magufuli), Je anasimama kidete kupinga sera sizizo na maslahi mapana ya nchi kama kuuza nyumba za watumishi wa serikali kisha watumishi hao hao kukaa hotelini? Je hana papara katika kuamua, akizungukwa na watu wanaomshangilia anamudu huo umaarufu au atafanya vioja? Ukipata majibu ya maswali kama haya waweza sasa kusema huyu ni mtu makini ndani ya chama. SI SWALA LA KUWA NA IMANI JUU YA UMAKINI WAKE.
 
kwa mda mrefu sana mimi nimeamini kwamba magufuli ni pandikizi la cdm. Hii imethibitika wiki iliyopita pale waziri mkuu alipompinga wazi wazi. Sababu hasa ya kumpinga mbele za watu ni kuonesha kwamba huyupo katika kundi lao. Nafurahi sana kuona cdm tayari imeshapata mapandikizi.
kula kwa lowasa. Hamtupigi chenga kirahisi hii tumeishtukia.
 
Kitendo cha ccm kuchakachua katiba ya wananchi tu kinatosha kuuthibitisha unyonyaji wao,imebaki kutunyonya damu tu,kura kwa lowasa,delete ccm!
 
Umesema mwenyewe kwamba Pombe anasimamia haki na CDM nao wanasimamia haki, so lazima interests zi coincide.Anaonekana kuwa tofauti na mainstream CCM kwa kuwa huko hakuna haki.Kama wote mnasimamia haki lazima mtafanana mawazo yenu.
Waziri John Pombe Maguli, tofauti kabisa na ilivo kawaida ya mawaziri wengine wa CCM, anaonekana ni mtu makini, anayezingatia utawala wa sheria, asiyechanganya siasa na kazi na mtu mwenye kujali maslahi ya umma kuliko maslahi ya mafisadi wachache

.
Inawezekana John Pombe Magufuli akawa ni pandikizi la chandema ndani ya ccm?
 
Kwa mda mrefu sana mimi nimeamini kwamba Magufuli ni pandikizi la CDM. Hii imethibitika wiki iliyopita pale waziri mkuu alipompinga wazi wazi. Sababu hasa ya kumpinga mbele za watu ni kuonesha kwamba huyupo katika kundi lao. Nafurahi sana kuona CDM tayari imeshapata mapandikizi.

Basi kesi imeisha maana kumbe Magufuli anakubalika kotekote yaani ccm na chadema. Haya sasa yameisha tusubiri kumwapisha tu
 
Kingunge aliondoka na password za ccm mliobaki endeleeni kuhangaika na kukosa usingizi.
 
Haya mambo ya umakini, uadilifu, ufisadi sio mambo ya IMANI. Angalia barabara nyingi alizosimamia je ziko vizuri? zinakaa kipindi kilichokusudiwa kabla ya kuanza kuharibika? Je manunuzi ya wizara anayoisimamia hayana mashaka? Vivuko, boti za kasi nakadhalika zina thamani halisi ya fedha iliyolipwa? Je anachukua maamuzi sahihi kwa wakati muafaka yasiyoingizia taifa hasara? (hapa unaweza tafakari samaki wa magufuli), Je anasimama kidete kupinga sera sizizo na maslahi mapana ya nchi kama kuuza nyumba za watumishi wa serikali kisha watumishi hao hao kukaa hotelini? Je hana papara katika kuamua, akizungukwa na watu wanaomshangilia anamudu huo umaarufu au atafanya vioja? Ukipata majibu ya maswali kama haya waweza sasa kusema huyu ni mtu makini ndani ya chama. SI SWALA LA KUWA NA IMANI JUU YA UMAKINI WAKE.

Kwa kuongezea tu, ccm ni ya wakulima na wafanyakazi, ndo maana makongoro Nyerere alisema, mafisadi mnakipeleka chama chetu wapi na cc mtatuacha wapi tukiwa tunafanya nn? mutuachie chama chetu, kimsingi ndo wanaondoka hivyo, naamini chama kimeanza kuwa safi kabisa.
 
Waziri John Pombe Maguli, tofauti kabisa na ilivo kawaida ya mawaziri wengine wa CCM, anaonekana ni mtu makini, anayezingatia utawala wa sheria, asiyechanganya siasa na kazi na mtu mwenye kujali maslahi ya umma kuliko maslahi ya mafisadi wachache

.
Inawezekana John Pombe Magufuli akawa ni pandikizi la chandema ndani ya ccm?
Usijaribu kumfananisha mtu msafi kama Magufuli na chama kichafu, cha wapiga dili na mashetani kama Chadema
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom