britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
KabisaUuzwaji wa nyumba za serikali ni wa serikali nzima ya BM akiwemo JK ambaye hapa mnasema ni mkombozi na ana nyumba ya kununua sasa leo kumpa lawama juu ya hizo bwana Pombe ni kumuonea JK anayo na alificha hadi last minutes .Je ndiyo usafi wa JK ?