Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
John Nchimbi na Haider Gulamali wamefanikiwa kushinda kura za maoni katika mchakato wa kuomba ridhaa ya kupeperusha bendera ys CCM kwenye uchaguzi wa Ubunge katika maajimbo ya Songea Mjini na Singida Kaskazini.
1.Songea Mjini
Wagombea. 20
Wapiga kura 605
Ndg John Nchimbi kura 219
Dk Theresia Huvisa kura 181.
Ndg Damas Ndumbaro kura 83
2.Singida Kaskazini
Wagombea 20
Wapiga kura 1,010
Ndg Haider Gulamali kura 606
Ndg Justine Monko kura 133
Ndg Juma Mgoo aliyekuwa Mkurugenzi wa huduma za misitu kura 46.
Mchakato wa uteuzi bado utaendelea kupitia vikao vya juu vya CCM.
John Nchimbi na Haider Gulamali wamefanikiwa kushinda kura za maoni katika mchakato wa kuomba ridhaa ya kupeperusha bendera ys CCM kwenye uchaguzi wa Ubunge katika maajimbo ya Songea Mjini na Singida Kaskazini.
1.Songea Mjini
Wagombea. 20
Wapiga kura 605
Ndg John Nchimbi kura 219
Dk Theresia Huvisa kura 181.
Ndg Damas Ndumbaro kura 83
2.Singida Kaskazini
Wagombea 20
Wapiga kura 1,010
Ndg Haider Gulamali kura 606
Ndg Justine Monko kura 133
Ndg Juma Mgoo aliyekuwa Mkurugenzi wa huduma za misitu kura 46.
Mchakato wa uteuzi bado utaendelea kupitia vikao vya juu vya CCM.