Bushesha jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 677
- 690
Mungu yupi wa kufanya mpango na weziChadema ni mpango wa mungu gusa Mungu akujibu
Peopleeeeees!!! Mbowe aachiwe mara moja!!!Mwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini , Mh John Mwambigija alikuwa miongoni mwa wanachama wa Chadema waliosafiri hadi gereza la Ukonga kumuona Mwamba Freeman Mbowe anayeshikiliwa kwenye gereza hilo kwa makosa yanayoitwa ya Ugaidi.
Baada ya kuonana naye Mh Mbowe alimpa ujumbe Maalum Mwambigija ili auweke hadharani kwa manufaa ya Watanzania wote .
Hebu jionee mwenyewe
View attachment 1934830
Chama mbadala kipi Cha mlevi na mpanga mikakati ya gizan dj..Ni kwasababu CCM bado inaongoza serikali, inaamua vipaumbele vyote vya nchi, na inapanga bajeti.
..mabadiliko yatawezekana kama asilimia 40% ++ ya WABUNGE watatokana na VYAMA MBADALA.
..hilo likitokea CCM na VYAMA MBADALA watakaa meza moja na kuamua kwa pamoja muelekeo wa nchi yetu.
..Na hapo ndipo tutaweza kuvuna MATUNDA ya Demokrasia ya vyama vingi.
Mungu ibariki CHADEMAMwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini , Mh John Mwambigija alikuwa miongoni mwa wanachama wa Chadema waliosafiri hadi gereza la Ukonga kumuona Mwamba Freeman Mbowe anayeshikiliwa kwenye gereza hilo kwa makosa yanayoitwa ya Ugaidi.
Baada ya kuonana naye Mh Mbowe alimpa ujumbe Maalum Mwambigija ili auweke hadharani kwa manufaa ya Watanzania wote .
Hebu jionee mwenyewe
View attachment 1934830
Ona hii ng'ombeTangu Mbeya waanze kuchagua CDM wamepata kipi cha ziada,?
Nilichoona ni SUGU kujenga HOTEK na kupata heshima ya MISUTI MJENGONI ..Maisha ya wanambeya ni yale yale.
Akidondoka huyu tunaweka chuma kingine hatari zaidi.Lazima huyu bibi adondoke
Kwahiyo hajawahi kuwa GAIDI. Kwanini mnamsingizia tuhuma za uwongo?
Binti nami naomba nikuulize swali umerukwa na akili!?Kwa hiyo tumpe yule dj mlevi nchi?nyie huko vichwani sijui kuna madudu gani,mnalipwa sh ngap kuongea huu upup?
Watu wa Mbeya wamebarikiwa kwa ardhi safi, mvua za kutosha, vyakula kama vyote lakini hawaitaki CCM.
Dodoma kwa wagogo wana shida za kila aina njaa, maradhi, milembe, ukame, kusahauliwa na serikali, viongozi wa ajabu ajabu kama Lusinde na Ndugai ila bado wameikumbatia CCM.
Mama hatoi buku saba...wee kaza tu shingo hapa jf...badala ya kutafuta vibarua ufanyeKwa hiyo tumpe yule dj mlevi nchi?nyie huko vichwani sijui kuna madudu gani,mnalipwa sh ngap kuongea huu upup?