John Mwambigija atoa hadharani Ujumbe wa Freeman Mbowe kwa Watanzania kutoka gereza la Ukonga

Watu wa Mbeya wamebarikiwa kwa ardhi safi, mvua za kutosha, vyakula kama vyote lakini hawaitaki CCM.

Dodoma kwa wagogo wana shida za kila aina njaa, maradhi, milembe, ukame, kusahauliwa na serikali, viongozi wa ajabu ajabu kama Lusinde na Ndugai ila bado wameikumbatia CCM.
Hivi mbeya inawabunge wangapi wa chadema dada
 
Hivi mbeya inawabunge wangapi wa chadema dada
FB_IMG_16273336286178586.jpg
 
Ujumbe wa kupanga njama za kuuwa watu, kulipua na kuzua taharuki ktk jamii ili aachiwe huru!!
Chadema wanapaswa wajifunze kuwa uongozi hautafutwi kwa njia za kishenzi na kihuni,
 
Ujumbe wa kupanga njama za kuuwa watu, kulipua na kuzua taharuki ktk jamii ili aachiwe huru!!
Chadema wanapaswa wajifunze kuwa uongozi hautafutwi kwa njia za kishenzi na kihuni,
kusaka Katiba mpya ni ushenzi ?
 
kusaka Katiba mpya ni ushenzi ?
katiba inadaiwa na Mhalifu wa Ugaidi?!
Mhalifu anapata wapi uhalali wa kimaadili wa kudai eti katiba?
hafai hata kuizungumzia, apambane na tuhuma zake kwanza.
Katiba haiwezi kudaiwa na mtu au watu wachafu, wahalifu.
 
Tangu Mbeya waanze kuchagua CDM wamepata kipi cha ziada,?

Nilichoona ni SUGU kujenga HOTEK na kupata heshima ya MISUTI MJENGONI ..Maisha ya wanambeya ni yale yale.

..Ni kwasababu CCM bado inaongoza serikali, inaamua vipaumbele vyote vya nchi, na inapanga bajeti.

..mabadiliko yatawezekana kama asilimia 40% ++ ya WABUNGE watatokana na VYAMA MBADALA.

..hilo likitokea CCM na VYAMA MBADALA watakaa meza moja na kuamua kwa pamoja muelekeo wa nchi yetu.

..Na hapo ndipo tutaweza kuvuna MATUNDA ya Demokrasia ya vyama vingi.
 
..Ni kwasababu CCM bado inaongoza serikali na kupanga bajeti.

..mabadiliko yatawezekana kama asilimia 40% ++ ya WABUNGE watatokana na VYAMA MBADALA.

..hilo likitokea CCM na VYAMA MBADALA watakaa meza moja na kuamua kwa pamoja muelekeo wa nchi yetu.

..Na hapo ndipo tutaweza kuvuna MATUNDA ya Demokrasia ya vyama vingi.
Mbeya CDM waliongoza mpaka halmashauri wakaanza kukusanya kodi na hakuna jipya.

Nyingine ni siasa za tumbo tu za kutaka kikubwa zaidi ili unufaike zaidi.

CCM na CDM ni bora CCM mara 200, ingawa ikitokea kukawa na chama kisicho na majority kwenye maaumuzi itakuwa bora zaidi.
 
Mbeya CDM waliongoza mpaka halmashauri wakaanza kukusanya kodi na hakuna jipya.

Nyingine ni siasa za tumbo tu za kutaka kikubwa zaidi ili unufaike zaidi.

CCM na CDM ni bora CCM mara 200, ingawa ikitokea kukawa na chama kisicho na majority kwenye maaumuzi itakuwa bora zaidi.

..serikali kuu ilinyang'anya halmashauri mapato kwa kiasi kikubwa hivyo CDM hawakuwa na uwezo wa kutekeleza mipango ya maendeleo ikaonekana.

..pamoja na hayo CDM wanadai kipindi walichoongoza Mbeya wamefanya mambo makubwa kulinganisha na kipindi ambacho CCM iliongoza.

..jambo lingine ni ma-RC, ma-DC, na system nzima ya serikali, kufanya juhudi za kuwahujumu CDM pale ambapo wananchi walikuwa wamewachagua.

..Sio rahisi eneo husika kupata maendeleo wakati serikali inafanya kila aina ya NJAMA / HUJUMA dhidi ya mbunge na madiwani.
 
..serikali kuu ilinyang'anya halmashauri mapato kwa kiasi kikubwa hivyo CDM hawakuwa na uwezo wa kutekeleza mipango ya maendeleo ikaonekana.

..pamoja na hayo CDM wanadai kipindi walichoongoza Mbeya wamefanya mambo makubwa kulinganisha na kipindi ambacho CCM iliongoza.

..jambo lingine ni ma-RC, ma-DC, na system nzima ya serikali, kufanya juhudi za kuwahujumu CDM pale ambapo wananchi walikuwa wamewachagua.

..Sio rahisi eneo husika kupata maendeleo wakati serikali inafanya kila aina ya NJAMA / HUJUMA dhidi ya mbunge na madiwani.
Si kwamba hayo unayoyasema hajui , anataka kukusumbua tu
 
Watu wa Mbeya wamebarikiwa kwa ardhi safi, mvua za kutosha, vyakula kama vyote lakini hawaitaki CCM.

Dodoma kwa wagogo wana shida za kila aina njaa, maradhi, milembe, ukame, kusahauliwa na serikali, viongozi wa ajabu ajabu kama Lusinde na Ndugai ila bado wameikumbatia CCM.
Ukijua kusudi la kuanzishwa kwa chadema hutawachekea kbs Mungu atuepushie mbali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom