Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,625
- 218,056
Mwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini , Mh John Mwambigija alikuwa miongoni mwa wanachama wa Chadema waliosafiri hadi gereza la Ukonga kumuona Mwamba Freeman Mbowe anayeshikiliwa kwenye gereza hilo akituhumiwa kwa makosa ya Ugaidi.
Baada ya kuonana naye Mh Mbowe alimpa ujumbe Maalum Mwambigija ili auweke hadharani kwa manufaa ya Watanzania wote .
Hebu jionee mwenyewe
Baada ya kuonana naye Mh Mbowe alimpa ujumbe Maalum Mwambigija ili auweke hadharani kwa manufaa ya Watanzania wote .
Hebu jionee mwenyewe