Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Mkurugenzi wa uenezi na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Mbowe kufikishwa Dar kutokea Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, ACP Ramadhani Kingai alimwambia:
"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"
Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!
Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Nini maoni yako?
"This time huchomoki, tunakupa kesi ya ugaidi"
Mrema ameyasema hayo katika bunge la wananchi linalofanyika kupitia Space!
Ni maneno ya ndugu Jonh Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Nini maoni yako?