John Mrema kuongoza usajili wa ‘CHADEMA Digital’ Mbarali

Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chadema kwa watu wote Duniani .

KWA FAIDA YA WANA JF na WATANZANIA WENGINE Ikumbukwe kwamba Mgombea ubunge wa Chadema kwenye ulioitwa uchaguzi mkuu wa 2020 Jimbo la Mbarali alikuwa ni Bingwa wa magonjwa ya upumuaji Nchini Marekani , Dr Liberatus Mwang'ombe , Taarifa zinaonyesha kwamba alishinda Uchaguzi ule ila kama ilivyoagizwa Hakutangazwa.

Ndio maana Chadema imemtuma Mkurugenzi wake wa Itifaki na Mambo ya Nje , Mh John Mrema kuongoza Chadema digital kwenye jimbo hilo .

View attachment 1995157

Mungu ibariki Chadema
mbere kwa mbere
 
Posho za safari yaani per diem za Chadema zinaishia Kilimanjaro kwa akina Mrema Wenye chama chao
 
Utter nonsense! …This is an insult to the medical profession. CHADEMA mmedanganywa na nani kwamba Liberatus ni daktari, let alone daktari bingwa wa magonjwa ya upumuaji?
Wacha kumwaga mapovu ndugu.
Kama umeona kuna upotoshaji na wewe una ukweli basi weka hapa huo ukweli ulio nao.
 
Wacha kumwaga mapovu ndugu.
Kama umeona kuna upotoshaji na wewe una ukweli basi weka hapa huo ukweli ulio nao.

Katika nchi zilizoendelea, professional licenses ni public records. Huyu yuko Marekani, na kwa kuwa ni mwanachama wenu, muulizeni yeye licensed MD katika state gani. Marekani hakuna longo longo!
 
Katika nchi zilizoendelea, professional licenses ni public records. Huyu yuko Marekani, na kwa kuwa ni mwanachama wenu, muulizeni yeye licensed MD katika state gani. Marekani hakuna longo longo!
Wewe unayehitaji kujua zaidi juu yake ndiyo fanya juhudi kumtafuta.
 
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chadema kwa watu wote Duniani .

KWA FAIDA YA WANA JF na WATANZANIA WENGINE Ikumbukwe kwamba Mgombea ubunge wa Chadema kwenye ulioitwa uchaguzi mkuu wa 2020 Jimbo la Mbarali alikuwa ni Bingwa wa magonjwa ya upumuaji Nchini Marekani , Dr Liberatus Mwang'ombe , Taarifa zinaonyesha kwamba alishinda Uchaguzi ule ila kama ilivyoagizwa Hakutangazwa.

Ndio maana Chadema imemtuma Mkurugenzi wake wa Itifaki na Mambo ya Nje , Mh John Mrema kuongoza Chadema digital kwenye jimbo hilo .

View attachment 1995157

Mungu ibariki Chadema
Wanapata wapi fedha za kufanya haya. It is understood kwamba walikataa ruzuku inayotokana na wabunge, na pia inayotokana na idadi ya kura za uraisi walizopata. Hawana kitega uchumi chochote, hawana donors wanaofahamika, over recent past hawajafanya uchangiaji wa chama ulio wazi, sasa wanaendeshaje hizi shughuli??
 
Wewe unayehitaji kujua zaidi juu yake ndiyo fanya juhudi kumtafuta.

Mimi tayari ninamjua huyo dogo; sio daktari.

Tuachie hapa kwasababu hakuna mahali popote kwenye public pages zake ambapo yeye anajiita daktari.
 
Naona umeamka hata bila ya kupata kifungua kinywa maana magimbi uliyowekewa na dada yako yameliwa na panya.
Linalokutokea lazima uliweke hapa jamvini tulijue pole kama yamekutokea hayo wekeni sumu ya panya!
 
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chadema kwa watu wote Duniani .

KWA FAIDA YA WANA JF na WATANZANIA WENGINE Ikumbukwe kwamba Mgombea ubunge wa Chadema kwenye ulioitwa uchaguzi mkuu wa 2020 Jimbo la Mbarali alikuwa ni Bingwa wa magonjwa ya upumuaji Nchini Marekani , Dr Liberatus Mwang'ombe , Taarifa zinaonyesha kwamba alishinda Uchaguzi ule ila kama ilivyoagizwa Hakutangazwa.

Ndio maana Chadema imemtuma Mkurugenzi wake wa Itifaki na Mambo ya Nje , Mh John Mrema kuongoza Chadema digital kwenye jimbo hilo .

View attachment 1995157

Mungu ibariki Chadema
Hivi kuna Mrema, Massawe, Mbowe, kwenye uongozi wa CHADEMA. Mbona sisikii Mwita Marwa, Mazengo, Masanja, etc. Au ndiyo mbinu iliyotumika kuwafukuza uongozi wake na Matiko, Bulaya, n.k. kwa sababu wanatoka mkoa nuksi. Yaani kabila lenye watu zaidi ya millioni 8 (16%) hakuna kiongozi hata mmoja wa ngazi ya juu. Kusini yote, Kati yote, pwani yote hata huko Morogoro, Mbeya, Iringa mmekosa kiongozi wa kitaifa. Wote wanatoka Uchaggani na ndiyo wanaidi ruzuiku kwa jina la uhamasishaji! KWELI TUMELIWA.
 
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chadema kwa watu wote Duniani .

KWA FAIDA YA WANA JF na WATANZANIA WENGINE Ikumbukwe kwamba Mgombea ubunge wa Chadema kwenye ulioitwa uchaguzi mkuu wa 2020 Jimbo la Mbarali alikuwa ni Bingwa wa magonjwa ya upumuaji Nchini Marekani , Dr Liberatus Mwang'ombe , Taarifa zinaonyesha kwamba alishinda Uchaguzi ule ila kama ilivyoagizwa Hakutangazwa.

Ndio maana Chadema imemtuma Mkurugenzi wake wa Itifaki na Mambo ya Nje , Mh John Mrema kuongoza Chadema digital kwenye jimbo hilo .

View attachment 1995157

Mungu ibariki Chadema
Nyie CHADEMA angalieni mnapotaja majina ya watu muwe mnasema ukweli, maana wakati mwingine mwajiri wa hao watu anaweza akadhania ni yeye mwenye anajitangaza kwa sifa "fake". Sidhani Liberatus aliwaambvia nio dakatari bingwa wa magonjwa ya moyo. Hii hapa ni CV yake ya maneno mawili:

Liberatus L. Mwang’ombe, MPH, BSRC, RRT-NPS​

Respiratory Care Practitioner at Johns Hopkins Medicine​

Washington DC-Baltimore Area. m Hebu nyie CHADEMA tuonyesheni huop udaktari bingwa kaupataje bile kusomea udaktari. Mimi nina hakika kwa 100% hayo yas udakatri hajawapa yeye, bali ni sehemu yenu ya uongo wa kila siku. Au ni Kingereza kinawasumbua mkadhani "respiratory care practioner" ni daktari bungwa wa magonjwa ya moyo. I ma sorry for you guys! CHADEMA!​

 
Hivi kuna Mrema, Massawe, Mbowe, kwenye uongozi wa CHADEMA. Mbona sisikii Mwita Marwa, Mazengo, Masanja, etc. Au ndiyo mbinu iliyotumika kuwafukuza uongozi wake na Matiko, Bulaya, n.k. kwa sababu wanatoka mkoa nuksi. Yaani kabila lenye watu zaidi ya millioni 8 (16%) hakuna kiongozi hata mmoja wa ngazi ya juu. Kusini yote, Kati yote, pwani yote hata huko Morogoro, Mbeya, Iringa mmekosa kiongozi wa kitaifa. Wote wanatoka Uchaggani na ndiyo wanaidi ruzuiku kwa jina la uhamasishaji! KWELI TUMELIWA.
Mwita Waitara aliondolewa kuwa mpishi wa chai wa Nchimbi , akaletwa Chadema na kupewa ubunge Ukonga , lakini akajiuza
 
Nyie CHADEMA angalieni mnapotaja majina ya watu muwe mnasema ukweli, maana wakati mwingine mwajiri wa hao watu anaweza akadhania ni yeye mwenye anajitangaza kwa sifa "fake". Sidhani Liberatus aliwaambvia nio dakatari bingwa wa magonjwa ya moyo. Hii hapa ni CV yake ya maneno mawili:

Liberatus L. Mwang’ombe, MPH, BSRC, RRT-NPS​

Respiratory Care Practitioner at Johns Hopkins Medicine​

Washington DC-Baltimore Area. m Hebu nyie CHADEMA tuonyesheni huop udaktari bingwa kaupataje bile kusomea udaktari. Mimi nina hakika kwa 100% hayo yas udakatri hajawapa yeye, bali ni sehemu yenu ya uongo wa kila siku. Au ni Kingereza kinawasumbua mkadhani "respiratory care practioner" ni daktari bungwa wa magonjwa ya moyo. I ma sorry for you guys! CHADEMA!​

unatia huruma hadi aibu
 
Back
Top Bottom