, 02 November 2010 11:03
Mwanasiasa kijana machachari John Mnyika wa Chadema ameshinda kiti cha ubunge Jimbo la Ubungo mkoa wa Dar es Salaam kwa kujizolea kura 66,000 na kumshinda mpinzani wake mkuu Hawa Ng'umbi wa CCM aliyejipatia kura 50,000. Mwingine katika kinyang'anyiro hicho ni Julius Mtatiro wa CUF ambaye amepata kura kiasi cha 13,000 tu.
habari zaidi gazeti la mwananchi today updates
Mwanasiasa kijana machachari John Mnyika wa Chadema ameshinda kiti cha ubunge Jimbo la Ubungo mkoa wa Dar es Salaam kwa kujizolea kura 66,000 na kumshinda mpinzani wake mkuu Hawa Ng'umbi wa CCM aliyejipatia kura 50,000. Mwingine katika kinyang'anyiro hicho ni Julius Mtatiro wa CUF ambaye amepata kura kiasi cha 13,000 tu.
habari zaidi gazeti la mwananchi today updates